Mafuta hayajashuka bei Moshi!

Mafuta hayajashuka bei Moshi!

Sir R

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2009
Posts
2,175
Reaction score
300
Serikali ilitutangazia leo bei ya mafuta yanashuka. Lakini cha kushangaza baadhi ya sheli leo Moshi hawakuwa wanatoa huduma hiyo. Nikabahatika kuweka mafuta katika sheli moja kwa shilingi 2285 kwa lita (petroli) ni bei ya awali.

Serikali ilikuwa inatutangazia maandishi wakati sisi tunataka bei kushuka.

Hali hii ya kudharau amri ya serikali inaonesha nini?
 
Back
Top Bottom