Mafuta kwa Zanzibar bei nafuu, mishahara yapandishwa kwa asilimia 15. Zanzibar ni kama mkoa?

Mafuta kwa Zanzibar bei nafuu, mishahara yapandishwa kwa asilimia 15. Zanzibar ni kama mkoa?

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Hali ndivyo ilivyo hapo.. Wana raisi wao na huku pia ni lazima (sio ombi) aidha awepo raisi au makamu wa raisi wa Zanzibar mwenye kitambulisho cha uraia wa Zenji.

Achana na bei za mafuta kwa zanzibar kuwa 2600 huku kwetu yakiwa 3,300. Hii ya ongezeko la mihahara kwa asilimia 15.6 bado zanzibar ni kama kamkoa?

Kiufupi Wazanzibar wana akili ya kujitambua thamani yao, huku kwetu ni akili za darasani kwajili ya mtu kupata cheo
 
Ukweli usemwe nchii hii imehariibiwa sana na JPM, alikua mjeuri anaona watu wote hawana la kumfanya, kakataa kupandisha mishahara miaka 6, sasa na huyu wasasaiv kaona ni kawaida anapita mule mule na hakuna la kufanya,
 
Kinachofanyika ni kitu kimoja gharama za uendeshaji wa serikali ya zanzibar zinatoka bara. Tangu mama aingie nchini kwao zenj anawalgezea mambo huku gharama za za Zenjtunazilipa bara. Mfano wa wesezenj bei ni ndogo kwa sababu wao hawana tozo ila tozo ambazo zingewekwa zenj zinatoka Bara.

JPM ATAKUMBUKWA DAIMA
 
Kinachofanyika ni kitu kimoja gharama za uendeshaji wa serikali ya zanzibar zinatoka bara. Tangu mama aingie nchini kwao zenj anawalgezea mambo huku gharama za za Zenjtunazilipa bara. Mfano wa wesezenj bei ni ndogo kwa sababu wao hawana tozo ila tozo ambazo zingewekwa zenj zinatoka Bara.
JPM ATAKUMBUKWA DAIMA

JPM hakuwahi kupandisha watu mishahara hili unalizungumziaje?
Watu wa Kimara walivunjiwa nyumba zao kibabe, watu wa Mwanza akazuia wasivunjiwe kwa sababu ni wapiga kura wake hili unalionaje kwa maoni yako binafsi?

Kuna mambo nilikuwa namkubali JPM ila kuna wakati alikuwa ananiudhi sana hasa anapokosea alafu anakuwa mbabe.
 
Back
Top Bottom