pangakali 2
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 239
- 221
- Thread starter
-
- #21
Asante sana mkuu. Je katika hizi lotion kama vile Nivea for Men, Vaseline for Men zinahusika kuwa iko kiwatilishi?itumikayo kwenye cream nyingi za kuchubua ngozi ni hydroquinone
Hii sijawahi hata ionaNunua Gentile lotion,ni nzuri sn
mkoaniHaya mkuu wewe mwanaume wa wapi?
Ok nashukuru mkuu kwa ushauri wakoNivea nzuri ni ile ya blue (kama round flani hivi). Yenye almond oil.
me natumia Vaseline ni nzuri ila io Clere men wanasema inang'arisha ila me naona inachubuaMkuu Zimekua na madhara gani kwa uzoefu wako ? Na ipi bora angalau isiyokuwa na athari za kubadirisha ngozi halisi?
Hiyo siku ni ya mapumziko.Kweli wewe upo makini. Je siku ukila maharage na mkate au supu ya samaki?
hapana mkuuAsante sana mkuu. Je katika hizi lotion kama vile Nivea for Men, Vaseline for Men zinahusika kuwa iko kiwatilishi?
Hiyo siku ni ya mapumziko.
Wanaume kujadili aina za lotion ni umama.. Hivi wanaume wa Dar mna nini? Tena hizo lotion mnapaka hadi makalioni.. Mh, mm mafuta yoyote ya mgando nayoyakuta nyumbani napaka usoni tu
Hiyo lotion hapo juu ndio unajipaka?
Hahaaaa.. Wewe punga kabisa endelea kupaka lotion kwenye makalioUmeamua kujiweka wazi kuwa bado unaishi kwa mama siku ukijitegemea utayaona haya tunayojadiri.