Mafuta mazuri ya ngozi.

Mafuta mazuri ya ngozi.

Linamo

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2011
Posts
9,976
Reaction score
24,496
Habari wana JF....naomba ushauri wa mafuta gani mazuri ambayo naweza kupaka nikawa soft na kubaki na ngozi yangu ya asili bila kubadilika??
Ngozi yangu ni ya mafuta na rangi yangu si nyeupe wala nyeusi sana.Nawasilisha.
 
Paka mafuta kama vaseline,babyjohnson ya mgando ambayo yanatumika sana kwa watoto
 
Mgando au lotion???

paka Ultimate organics cocoa and shea butter lotion/body cream/oil.. its very nice kwa mwilini.. ila kwa usoni sijui kwako itakuaje japo to me haina shida napaka tu.
 
Paka mafuta kama vaseline,babyjohnson ya mgando ambayo yanatumika sana kwa watoto
Nimepaka babyjohson oil ila inanipa harara...sijui kwa mgando itakuwaje??
 
paka Ultimate organics cocoa and shea butter lotion/body cream/oil.. its very nice kwa mwilini.. ila kwa usoni sijui kwako itakuaje japo to me haina shida napaka tu.
Ntayapata wapi???
 
paka Ultimate organics cocoa and shea butter lotion/body cream/oil.. its very nice kwa mwilini.. ila kwa usoni sijui kwako itakuaje japo to me haina shida napaka tu.
Naomba nieleweshe vizuri.....hizi ni aina mbili za mafuta au moja??
1)Ultimate organic cocoa....
2)Shea butter lotion/body cream/oil...
 
kwanza ni she or he , kwa mimi he natumia sana mafuta yatokayo zambia aina zote specificaly lotion, kuna kitu kinaitwa mixer tanzania nzima hamna lakini zambia yapo kwa sisi wanaume ni mazuri sana na kwa bei poa , yatafute utaja niambia au check na watu wa malori hata kamoja watakuletea kama upo dar
 
kwanza ni she or he , kwa mimi he natumia sana mafuta yatokayo zambia aina zote specificaly lotion, kuna kitu kinaitwa mixer tanzania nzima hamna lakini zambia yapo kwa sisi wanaume ni mazuri sana na kwa bei poa , yatafute utaja niambia au check na watu wa malori hata kamoja watakuletea kama upo dar
Mimi ni mwanamke....
 
Mafuta safi ya nazi.

Kuna nazi chujia tui zito then chemsha mpaka yabaki mafuta. Hayana mpinzani nakwambia.

Kama utaona tabu kutengeneza mwenyewe nunua parachute coconut oil.


Ukitaka lotion tumia za Victoria secret garden au products za oriflame.
 
Naomba nieleweshe vizuri.....hizi ni aina mbili za mafuta au moja??
1)Ultimate organic cocoa....
2)Shea butter lotion/body cream/oil...

ni aina moja ina shea butter na cocoa butter.. yapo kwenye lotion oil na body cream form
 
Mafuta safi ya nazi.

Kuna nazi chujia tui zito then chemsha mpaka yabaki mafuta. Hayana mpinzani nakwambia.

Kama utaona tabu kutengeneza mwenyewe nunua parachute coconut oil.


Ukitaka lotion tumia za Victoria secret garden au products za oriflame.

Ahsante kwa ushauri.
 
Back
Top Bottom