I ILLUNGU Member Joined Oct 12, 2015 Posts 35 Reaction score 5 Dec 15, 2015 #1 Watu wengi wana chunusi na ngozi zenye mafuta mengi, naomba kujua tiba.
Anita Baby JF-Expert Member Joined Oct 2, 2011 Posts 1,265 Reaction score 540 Dec 15, 2015 #2 Gold touch ya blue, fair and lovely.. asali na limao paka usoni asubuh na jioni.
Illuminata Rodgers JF-Expert Member Joined Nov 25, 2015 Posts 2,845 Reaction score 2,024 Dec 15, 2015 #3 Mafuta ya ingram's.
P Peekaboo Senior Member Joined Nov 26, 2015 Posts 102 Reaction score 46 Dec 15, 2015 #4 Tumia clay mask
G GlorytoGod Senior Member Joined Sep 8, 2012 Posts 158 Reaction score 50 Dec 15, 2015 #5 Tafuta mafuta ya H20 ya lemon na sabuni ya kopakabana itakusaidia saaana maana nilikuwa na chunusi mfano hakuna sasa hivi uso umekuwa km Wa kachangaaa
Tafuta mafuta ya H20 ya lemon na sabuni ya kopakabana itakusaidia saaana maana nilikuwa na chunusi mfano hakuna sasa hivi uso umekuwa km Wa kachangaaa
Zainab Tamim JF-Expert Member Joined Jan 15, 2015 Posts 1,293 Reaction score 583 Dec 15, 2015 #6 Pitia hapa: https://www.jamiiforums.com/matanga...nt-zainabs-natural-super-clay.html?highlight=
Zainab Tamim JF-Expert Member Joined Jan 15, 2015 Posts 1,293 Reaction score 583 Dec 15, 2015 #7 Peekaboo said: Tumia clay mask Click to expand... Hakika umenena, sisi tunayo clay mask ya asilia (100% Natural): https://www.jamiiforums.com/matanga...nt-zainabs-natural-super-clay.html?highlight=
Peekaboo said: Tumia clay mask Click to expand... Hakika umenena, sisi tunayo clay mask ya asilia (100% Natural): https://www.jamiiforums.com/matanga...nt-zainabs-natural-super-clay.html?highlight=
Travuhler Senior Member Joined Nov 13, 2015 Posts 155 Reaction score 99 Dec 17, 2015 #8 GlorytoGod said: Tafuta mafuta ya H20 ya lemon na sabuni ya kopakabana itakusaidia saaana maana nilikuwa na chunusi mfano hakuna sasa hivi uso umekuwa km Wa kachangaaa Click to expand... Kopakabana haina kemikali inayoweza kuchubua ngozi?
GlorytoGod said: Tafuta mafuta ya H20 ya lemon na sabuni ya kopakabana itakusaidia saaana maana nilikuwa na chunusi mfano hakuna sasa hivi uso umekuwa km Wa kachangaaa Click to expand... Kopakabana haina kemikali inayoweza kuchubua ngozi?