Mafuta ni jinamizi lingine linalosumbua baada ya sukari

Mafuta ni jinamizi lingine linalosumbua baada ya sukari

mirindimo

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2009
Posts
901
Reaction score
1,742
Kuna vigogo wanatumia shida za wananchi kuishi kama wako peponi kupitia huduma za jamii.

Mafuta ni tatizo lingine linalosumbua maskini na kufanya waishi maisha ya juu. Kwa sasa matajiri wanazuia mafuta kushinikiza bei ipande na wanaficha makusudi kabisa. Pita leo baadhi ya vituo utaambiwa hakuna mafuta. Mamlaka zinajua haya na zipo kimya bila neno lolote.
 
Chura kiziwi alikuta mafuta yanauzwa 2,000

Leo hii mafuta yanauzwa elfu 3,500 ndani ya miaka 3 tu!

Huyu bibi akikaa miaka 10 mafufuta yatauzwa elfu 10
 
Kuna vigogo wanatumia shida za wananchi kuishi kama wako peponi kupitia huduma za jamii.

Mafuta ni tatizo lingine linalosumbua maskini na kufanya waishi maisha ya juu. Kwa sasa matajiri wanazuia mafuta kushinikiza bei ipande na wanaficha makusudi kabisa. Pita leo baadhi ya vituo utaambiwa hakuna mafuta. Mamlaka zinajua haya na zipo kimya bila neno lolote.
Nchi ilishauzwa siku mingi,ndiyo maana mkaambiwa kama hamuwezi hamieni Burundi mbona hamtaki kuelewa!!?
 
Nadhani wakati mwingine ebu tufanye utafiti kwanza kabla hatuja toa hitimisho,,,huenda kuna sababu ya haya kutokea kwahiyo tusiwe watu wa kulalamika tu na kutoa lawama,ebu tujue kwanza shida iko wapi
 
Nimepita Tabora juzi nimekutana na hii hali...nikafanikiwa kupata mafuta lake oil. Vituko vyote vya GBP wamegoma kuuza
 
Chura kiziwi alikuta mafuta yanauzwa 2,000

Leo hii mafuta yanauzwa elfu 3,500 ndani ya miaka 3 tu!

Huyu bibi akikaa miaka 10 mafufuta yatauzwa elfu 10
😀 😀 😀 chura kiziwi....
 
Back
Top Bottom