Mafuta ya alizeti Sasa yanashuka bei

Mafuta ya alizeti Sasa yanashuka bei

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Bei ya dumu la alizeti ilifikia 97k baadae ikaja kuwa 85k ikafikia 80k week iliyopita. Leo limeshuka mpk 74k na Bado litaendelea kushuka maana ndo msimu inaweza kufikia Bei ya zamani ya 56k.

Unaonaje ikifikia 56k ukawekeza hata madumu 200 ukalipia 1120000 baadae Mwezi wa 10,11,12 Bei Ina panda Mara mbili unajua milioni kumi iliyonyoka.

Karibuni singida.

IMG_20210519_084254.jpg
IMG_20210519_084233.jpg
IMG_20210519_084419.jpg
 
Samahani huoni kama picha ulizoweka zinashusha thamani ya bidhaa yako /yenu?
Hayo ndiyo mazingira halisi ya viwanda vyetu vya kati au chini. na huo weusi usikupe shida sana mkuu kwani huo siyo uchafu bali ni rangi ya mafuta ambayo hayajachujwa bado pamoja na mashudu[emoji3]
 
Kwa hiyo hamjui viwanda viko mpaka vijijini..process ya mwisho ya kusafisha inatoa kitu kizuri ambacho kinaweza kusafirishwa mpaka nje
Ukivuliwa nguo, chutama.
Kiwanda kiwe mjini, kijijini, USAFI ni jambo la kuzingatia.

Waambie tu wadau, utarekebisha.

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Wakuu wa mikoa wakianza kupia msako wa waliojilimbikizia mafuta unaweza ukapigwa na mvua ya uhujumu uchumi
 
Back
Top Bottom