ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Umenifanya nicheke peke yanguSamahani huoni kama picha ulizoweka zinashusha thamani ya bidhaa yako /yenu?
Ukimchunguza sana bata, huwezi kumla.Samahani huoni kama picha ulizoweka zinashusha thamani ya bidhaa yako /yenu?
Hivi kwa mazingira yetu kwenye hizi nyumba za kupanga, una ananzaje kukaa na petrol lita 100 ndani??!Jiulize kwa nini Petrol ikishuka watu hawawezi kuhifadhi walau lita 100
Hayo mzee ngoma arusha na Kenya wanasubiria mzigoHapo cha muhimu ni mashudu tu.
Sio wote wamepanga, petrol hata nusu lita kwenye generator inaleta madhara makubwaHivi kwa mazingira yetu kwenye hizi nyumba za kupanga, una ananzaje kukaa na petrol lita 100 ndani??!
Kwa hiyo hamjui viwanda viko mpaka vijijini..process ya mwisho ya kusafisha inatoa kitu kizuri ambacho kinaweza kusafirishwa mpaka njeWatanzania wenzangu..oneni uchafu tunaolishwa..hapo tutarajie tuwe na afya kweli?..hichi kiwanda kigungiwe haraka.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo ndiyo mazingira halisi ya viwanda vyetu vya kati au chini. na huo weusi usikupe shida sana mkuu kwani huo siyo uchafu bali ni rangi ya mafuta ambayo hayajachujwa bado pamoja na mashudu[emoji3]Samahani huoni kama picha ulizoweka zinashusha thamani ya bidhaa yako /yenu?
Ukivuliwa nguo, chutama.Kwa hiyo hamjui viwanda viko mpaka vijijini..process ya mwisho ya kusafisha inatoa kitu kizuri ambacho kinaweza kusafirishwa mpaka nje
Ongezea na OSHAWenye viwanda vya ndani, ninawaomba mjitahidi kuwa wasafi hasa mnaozalisha bidhaa za kula.Usafi msisubiri Bwana afya au mamlaka kama TMDA na TBS