Mwakasimba
Member
- Mar 16, 2014
- 10
- 2
habar ndugu zangu watanzania, mimi ni mjasiliamali mdogo nimemaliza chuo ud nimeona nijiajiri kupitia biashara ya mafuta ya alizeti, kikubwa naomba mniunge mkono lita tano (5) ni Tshs. 18000 tu! unaweza kuagiza kwa tenda na kama upo dar nitakuletea hapo ulipo, nashukuru kwa ushirikiano japo kwa kusoma tu, Mungu akubariki sana. kwa mawasiliano 0653 466572, Asante