Mwakasimba
Member
- Mar 16, 2014
- 10
- 2
habar ndugu zangu watanzania, mimi ni mjasiliamali mdogo nimemaliza chuo ud nimeona nijiajiri kupitia biashara ya mafuta ya alizeti, kikubwa naomba mniunge mkono lita tano (5) ni Tshs. 18000 tu! unaweza kuagiza kwa tenda na kama upo dar nitakuletea hapo ulipo, nashukuru kwa ushirikiano japo kwa kusoma tu, Mungu akubariki sana. kwa mawasiliano 0653 466572, Asante
Wapi yanapatikana kwa bei ya 16? Ila angalia hio 18 anakuletea hapo ulipo Dar, nadhani bado yupo nafuu Zaidi ukilinganisha na akina Muzar mill oil - same package hadi 21Bei yako iko juu sana wengi wanauza maximum elfu 16 kwa lita tano.Check prices of your competitors
Ndoo ya lita 10 juzi nimenunua kwa 33,000.