sijui kwa nini tatzo hili linawakumba wanawake wengi hivi, mimi wangu nimechoma makopo yote ya cream, nimemnunulia mafuta ya nazi parachutte, ila nahisi kanunua mengine mana huwa anavyopaka anajificha ficha, wakati mwingine anapaka mafuta bafuni
Namnunuliaga bibie anayapenda sanaAisee hadi weye unayajua haya?
[emoji3][emoji3][emoji3]sijui kwa nini tatzo hili linawakumba wanawake wengi hivi, mimi wangu nimechoma makopo yote ya cream, nimemnunulia mafuta ya nazi parachutte, ila nahisi kanunua mengine mana huwa anavyopaka anajificha ficha, wakati mwingine anapaka mafuta bafuni
Hongera unajua majukumu yakoNamnunuliaga bibie anayapenda sana
Asante mkuu, maisha ndio haya haya hela ya bugati sina hata mafuta nayo nishindweHongera unajua majukumu yako
Mtoa mada ata haya mazuri hayachubui ila kuna ile maji yake ikishawekwa lazima tu ung'ae
parachutte yako poa kwa kila mtu, tatzo wanawake mnapenda vitu vya kung'arisha artificiallySi kila mtu parachute inampenda jamani[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Asante sana mkuu, bei yake ni kiasi ganiHizi zote nzuri achague moja atumie zitamueka vizuri tu.View attachment 1099388View attachment 1099389
Kiasi gan bosiAsante mkuu, maisha ndio haya haya hela ya bugati sina hata mafuta nayo nishindwe
Yanauzwa 40k (40,000)Kiasi gan bosi
Hayana bei ni elf 10 tu.Asante sana mkuu, bei yake ni kiasi gani
.Ni kweli ..mm yalinitoa chunusiSi kila mtu parachute inampenda jamani[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Hii nilitumia nzuri,nilichukua sh amon 20000shFair & white lotion kopo refu la rangi ya Gold hii haichubui Mkuu...ila kwa uhakika zaidi nunua SH Amon...anabaki na ngozi yake anakua soft tu.
Amekubali kuacha kujichubua?
Hii nilitumia nzuri,nilichukua sh amon 20000sh
Si kweli Mkuu wengine yanawatoa rashaziparachutte yako poa kwa kila mtu, tatzo wanawake mnapenda vitu vya kung'arisha artificially
Ya kula ? Acha kuzinguaAtumie mamiz, movit, body line na mafuta mengine yote ya mgando pia na ya kula itamfaa zaidi kumfanya abaki asilia..
Typing error !! JiongezeMleta maada kaandika "kujichua" sio kujichubua.
πππMnunulie ya gharama kuanzia laki2 ndo hayabadilishi ngoz yana moisturize tu
Hayajawahi fika hiyo bei saivi tu ni 45kHii nilitumia nzuri,nilichukua sh amon 20000sh