Anthony Paschal
JF-Expert Member
- Oct 23, 2013
- 513
- 11
Asante napaka au nakula?mawese na alizeti mkuu zitaota mpaka basi aise
Asante napaka au nakula?
Anatumia jina gani humu?Hebu mtafute Bi Zainab na udongo wake, unaotesha hadi vipara.
Yupo humuhumu JF.
Anatumia jina gani humu?
Tip mazembe
Wadau amani iwe juu yenu, ninataka kufuga sharafa ziwe ndefu kabisa, naitaji kujua mafuta gani nitumie ili ndevu zikue zinyooke zisiwe kipilipili kama zilivyo hivi sasa, natanguliza shukran
NyauPaka
Patricky Mao
VyoteUnataka uwe na mustachi mrefu au ndevu sijaelewa
Za mama yakooodawa ya kukuza ndevu ni shahawa..anza kujipaka shahawa