Mafuta ya kupikia bei juu, Chips bei ile ile!

Mafuta ya kupikia bei juu, Chips bei ile ile!

and 300

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2012
Posts
26,398
Reaction score
36,406
Wapenda chips mnalishwa Sumu bila kupenda, haiwezekani mafuta ndoo ya 10ltrs iuzwe 75,000 TZS kutoka 38,000 TZS (ongezeko karibia 100%) Ila chips mtaani Bei Ile Ile. Wafanyabiashara hao wamejiongeza Kwa gharama za mlaji. STUKA

images - 2022-03-19T223053.477.jpeg
 
Wapenda chips mnalishwa Sumu bila kupenda, haiwezekani mafuta ndoo ya 10ltrs iuzwe 75,000 TZS kutoka 38,000 TZS (ongezeko karibia 100%) Ila chips mtaani Bei Ile Ile. Wafanyabiashara hao wamejiongeza Kwa gharama za mlaji. STUKA

View attachment 2157290
Acha kupotosha watu wewe, ni zaidi ya mwaka sasa kwa Dar mafuta yamekuwa yakiuzwa tsh.5000 kwa lita, na sasa hivi yako kwenye 6000!! Lakini viazi vimekuwa vikiuzwa kwa tsh.1500.

Kama ungekuwa umeshawahi kufanya biashara hii wala usinge kuja na utumbo huo!! Bei ya chipsi inaweza kupanda sana kutokana na viazi kupanda sana!! Lakini mafuta ni inshu ndogo sana, kutokana na faida kubwa iliyopo kwenye biashara hiyo, labda wa kuwahurumia ni kina mama lishe lakini sio muuza chipsi!!
 
Mbona kama ujazo umepunguzwa.

Ngoja waumini wa hivi vitu waje
 
Back
Top Bottom