Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mafuta ya transfoma ndio mwendo kwa Sasa!Wapenda chips mnalishwa Sumu bila kupenda, haiwezekani mafuta ndoo ya 10ltrs iuzwe 75,000 TZS kutoka 38,000 TZS (ongezeko karibia 100%) Ila chips mtaani Bei Ile Ile. Wafanyabiashara hao wamejiongeza Kwa gharama za mlaji. STUKA
View attachment 2157290
Ha ha ha ushaambiwa mnakula mafuta sawa na transfomaKwani viazi navyo vimepanda bei? [emoji2377][emoji2377][emoji2377]
Mafuta kwenye transfomer hutumika kupoozea mitambo na hivyo kwenye miili yanatumika kupoozea joto! [emoji23][emoji23][emoji23]Ha ha ha ushaambiwa mnakula mafuta sawa na transfoma
Acha kupotosha watu wewe, ni zaidi ya mwaka sasa kwa Dar mafuta yamekuwa yakiuzwa tsh.5000 kwa lita, na sasa hivi yako kwenye 6000!! Lakini viazi vimekuwa vikiuzwa kwa tsh.1500.Wapenda chips mnalishwa Sumu bila kupenda, haiwezekani mafuta ndoo ya 10ltrs iuzwe 75,000 TZS kutoka 38,000 TZS (ongezeko karibia 100%) Ila chips mtaani Bei Ile Ile. Wafanyabiashara hao wamejiongeza Kwa gharama za mlaji. STUKA
View attachment 2157290
Na mimi ndio nimeshangaa bei hiyo!!Viazi bei gani??
Hapa nnapoish hiyo lita 10 ni 62,000 TZS kutoka 52,000 TZS. Hiyo 75,000 upo mkoa gani mkuu.??
Usiku huu kuna moja imelipuka hapa mtaani kwangu na umeme ukakata, yawezekana wahuni walikuwa kaziniMafuta ya transfoma ndo mwendo kwa Sasa!
Viazi bei gani??
Hapa nnapoish hiyo lita 10 ni 62,000 TZS kutoka 52,000 TZS. Hiyo 75,000 upo mkoa gani mkuu.??
Aina gani, na brand gani ndio issue, je ni korie type, Alizeti?, brand gani ya Alizeti?Viazi bei gani??
Hapa nnapoish hiyo lita 10 ni 62,000 TZS kutoka 52,000 TZS. Hiyo 75,000 upo mkoa gani mkuu.??