Mmea Jr
JF-Expert Member
- May 20, 2016
- 798
- 1,871
Habari zenu jamani
Bila kupoteza muda ,,, kumeanza kuchangamka, leo hii navyoandika dumu la mafuta ya kupika ya Alizeti huku nilipo limefikia sh 120,000/= ni wiki moja tu nyuma lilikuwa 105,000/=
Ikiwa na maana kwasasa gharama kwa sasa zitakuwa kama ifuatavyo
Lita moja = 6000/=
Nusu 3000/=
Robo. 1500/=
Bei hizi hutofautiaana kwa maeneo au mikoa, mfano mikoa ambayo hawazalishi zao hili la Alizeti bei zinawezakuwa ghali zaidi kutokana na gharama za ziada kama vile usafiri ,, ushuru ambazo hupelekea bei kuwa juu maradafu ukilinganisha na ile wanayozalisha.
Wasiwasi wangu kama mwezi huu wa kumi na moja dumu ni 120,000/= inamaana tutakapo ingia mwezi wa 12, bei inaweza kuwa kubwa zaidi huenda tukanunua dumu la mafuta kwa sh 160,000/= kwa dumu moja hali itakayopelekea gharama za maisha kupanda zaidi hasa katika mwezi huo wenye harakati nyingi za sikukuu.
Ombi
Kama inawezekana serikali ingechukua hatua za haraka kunusuru hali ya ongezo la bei la ghafla linaloikabili bidhaa hii muhimu ,, ikumbukwe mwezi wa mavuto bado mpaka 5 au 6.
Bila kupoteza muda ,,, kumeanza kuchangamka, leo hii navyoandika dumu la mafuta ya kupika ya Alizeti huku nilipo limefikia sh 120,000/= ni wiki moja tu nyuma lilikuwa 105,000/=
Ikiwa na maana kwasasa gharama kwa sasa zitakuwa kama ifuatavyo
Lita moja = 6000/=
Nusu 3000/=
Robo. 1500/=
Bei hizi hutofautiaana kwa maeneo au mikoa, mfano mikoa ambayo hawazalishi zao hili la Alizeti bei zinawezakuwa ghali zaidi kutokana na gharama za ziada kama vile usafiri ,, ushuru ambazo hupelekea bei kuwa juu maradafu ukilinganisha na ile wanayozalisha.
Wasiwasi wangu kama mwezi huu wa kumi na moja dumu ni 120,000/= inamaana tutakapo ingia mwezi wa 12, bei inaweza kuwa kubwa zaidi huenda tukanunua dumu la mafuta kwa sh 160,000/= kwa dumu moja hali itakayopelekea gharama za maisha kupanda zaidi hasa katika mwezi huo wenye harakati nyingi za sikukuu.
Ombi
Kama inawezekana serikali ingechukua hatua za haraka kunusuru hali ya ongezo la bei la ghafla linaloikabili bidhaa hii muhimu ,, ikumbukwe mwezi wa mavuto bado mpaka 5 au 6.