Mafuta ya mise au mbosa

Eja2

Member
Joined
Aug 30, 2017
Posts
10
Reaction score
3
Jamani nombeni kujua mise ikikamuliwa mafuta kwa gunia Moja inatoa mafuta kiasi gani gunia la kilo 120
 
Mise au mbosa!
Duh, sijawahi sikia hili zao.
Ngoja wajuzi waje.
 
Mise au mbosa!
Duh, sijawahi sikia hili zao.
Ngoja wajuzi waje.
Hapa aweke sawa swali lake ili nimpe majibu.
Kwa nyumbani mise "imise" ni mbegu za mchikichiki, sasa hapa anamaanisha matunda ya mchikichi au mibegu zake?
 
Gunia la Debe 10 hutoa Dumu 2.5-3

Inategemea zimekauka kiasi gani

Yategemea mabaki yako kiasi gani
 
Mise au mbosa!
Duh, sijawahi sikia hili zao.
Ngoja wajuzi waje.
Mise ni kile kiini cha ndani cha chikichi kinachofanana na nazi. Kikikamuliwa hutoa mafuta safi ya kula. Kwahiyo, chikichi ina mafuta ya aina mbili yale yanayotokana na ganda la nje yaani mawese na yale ya kiini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…