Mafuta ya Petrol na Gharama za usafiri

Mhache

JF-Expert Member
Joined
Jun 20, 2008
Posts
345
Reaction score
25
Tatizo la kukosekana kwa mafuta ya petrol linaonekana kuendelea kuwepo kila siku. Je tatizo lipo wapi? Ni ukosefu wa mafuta katika hifadhi y aTaifa au meli za mafuta bado kufika nchini?

Tatizo hili limekuwa kubwa baada ya serikali kupanga bei ya mafuta. Serikali inatakiwa itupe majibu ya kuridhisha kuliko kusema tatizo litamalizika baada ya siku kadhaa.
 
Watanzania tumezoea kufanya kazi kama zimamoto au kwa mazoea bila kujali mabadiliko yatokea kila siku yaani sisi ni wagumu kukubali mabadiliko.
Mimi sitashangaa nauli na bei za bidhaa zikiendelea kubaki vilevile bila kushuka.Wakati katika nchi nyingine kila kitu kinabadilika kutoka na hali ya wakati huo ilivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…