C Chemwali JF-Expert Member Joined Apr 5, 2011 Posts 397 Reaction score 178 May 7, 2013 #1 mwenye uelewa wa haya mafuta please naomba anisaidie..nimeambiwa hapa ni mazuri kwenye kuchanganya na uji wa mtoto..tho mwingine ananiambia noo...nimeyanunua hapa je..nikamuanzishie hiyo diet?as am abit confused
mwenye uelewa wa haya mafuta please naomba anisaidie..nimeambiwa hapa ni mazuri kwenye kuchanganya na uji wa mtoto..tho mwingine ananiambia noo...nimeyanunua hapa je..nikamuanzishie hiyo diet?as am abit confused