Mafuta ya taa yaadimika Mwanza.

Mafuta ya taa yaadimika Mwanza.

Cartoons

Senior Member
Joined
Jul 16, 2012
Posts
122
Reaction score
39
Kumekuwa na tatizo la mafuta ya taa hapa mwanza kwa takriban wiki 3 hivi.
Cha kushangaza hata vile vituo vya mafuta vichache vilivyokuwa nayo ,yakiisha hawaleti mengine.
Je,tatizo ni nini ?
 
Back
Top Bottom