Mafuta ya ubuyu!

utiyansanga

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2010
Posts
213
Reaction score
7
Nawafahamu watu ambao wametumia dawa hii au kuwajua watu waliotumia mafuta haya na kuwasaidia sana -Mafuta ya ubuyu ,ili kuwasaidia na wengine humu Jf MAFUTA YA UBUYU NI DAWA INAYOWEZA KUTIBU MAGONJWA MENGI.nI MAFUTA YANAYOTOKANA NA MBEGU ZA UBUYU.Magonjwa hayo ni kama/kazi za mafuta ya ubuyu:
  • kutengeneza cell zamwili,kutengeneza ngozi ya mwili,
  • kuondoa lehemu na kupunguza uzito
  • kurutubisha ini na figo
  • kuleta hamu ya kula
  • kuongeza kinga ya mwili CD4
  • KUONDOA SUMU MWILINI
  • Kurekebisha kiwango cha sukari mwilini
  • kufanya uone vizuri
  • magonjwa ya ngozi
  • yanatumika kwa walemavu wa ngozi
  • kwa wale wanakunywa pombe kupita kiasi ...yanapunguza hamu hiyo
  • KAMA UNA MGONJWA AJARIBU KUTAFUTA MAFUTA HAYA YTAMSAIDIA
KUNA MUUZAJI NINAYE MFAHAMU MPIGIE ..065814 16 00/0767 14 16 00/0787 14 16 00 na 0653 00 10 53
 
ni habari nzuri nimeipenda. swali yanatumika kwa kunywa, kupikia, au kulamba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…