Mafuta Ya Zanzibar Yalichimbwa Lini

Mafuta Ya Zanzibar Yalichimbwa Lini

Kichuguu

Platinum Member
Joined
Oct 11, 2006
Posts
17,048
Reaction score
22,790
Miaka ya nyuma kidogo uliibuka mvutano baada ya kuusemekewa kuwa ukanda wa bahari unaoizunguka Zanziba una mafuta. Kuna sauti za nguvu sana zilizosikika kutoka Zanzinbar zikidai kuwa hata kama mafuta hayo ni kinibu tu, ni mali ya Zanziba nma walamyasiguswe na serikali ya Dodoma. Ni miaka imepita sasa, kelele hizo zimetoweka lakini magfuta hayajulikani yalikwenda wapi.

Kuna taarifa zozote mpya kuhusu mafuta hayo?
 
Miaka ya nyuma kidogo uliibuka mvutano baada ya kuusemekewa kuwa ukanda wa bahari unaoizunguka Zanziba una mafuta. Kuna sauti za nguvu sana zilizosikika kutoka Zanzinbar zikidai kuwa hata kama mafuta hayo ni kinibu tu, ni mali ya Zanziba nma walamyasiguswe na serikali ya Dodoma. Ni miaka imepita sasa, kelele hizo zimetoweka lakini magfuta hayajulikani yalikwenda wapi.

Kuna taarifa zozote mpya kuhusu mafuta hayo?
Hua wanafanya cost analysis kwanza, gharama za kuchimba hayo mafuta na kiasi Cha mafuta yaliyopo, Kama mafuta ni machache kuliko gharama za kuyachimba mradi unaishia hapo
 
Hua wanafanya cost analysis kwanza, gharama za kuchimba hayo mafuta na kiasi Cha mafuta yaliyopo, Kama mafuta ni machache kuliko gharama za kuyachimba mradi unaishia hapo
Basi hakukuwa na haja ya kushupaliana mishipa wakati ule kugombania mafuta ambayo hawakuwa na uhaklika wa kuyachimba. Nusura muungano uvunjike
 
Miaka ya nyuma kidogo uliibuka mvutano baada ya kuusemekewa kuwa ukanda wa bahari unaoizunguka Zanziba una mafuta. Kuna sauti za nguvu sana zilizosikika kutoka Zanzinbar zikidai kuwa hata kama mafuta hayo ni kinibu tu, ni mali ya Zanziba nma walamyasiguswe na serikali ya Dodoma. Ni miaka imepita sasa, kelele hizo zimetoweka lakini magfuta hayajulikani yalikwenda wapi.

Kuna taarifa zozote mpya kuhusu mafuta hayo?
waarabu pori bhana bora yasiwepo hayo mafuta wajeuri kama vitoto vya mamba vikitoka kwenye yai tu vinafoka na kutaka kukung'ata.
 
Miaka ya nyuma kidogo uliibuka mvutano baada ya kuusemekewa kuwa ukanda wa bahari unaoizunguka Zanziba una mafuta. Kuna sauti za nguvu sana zilizosikika kutoka Zanzinbar zikidai kuwa hata kama mafuta hayo ni kinibu tu, ni mali ya Zanziba nma walamyasiguswe na serikali ya Dodoma. Ni miaka imepita sasa, kelele hizo zimetoweka lakini magfuta hayajulikani yalikwenda wapi.

Kuna taarifa zozote mpya kuhusu mafuta hayo?
Yapo ila wanadai siyo ya muungano, kwao kila kitu siyo cha muungano
 
Miaka ya nyuma kidogo uliibuka mvutano baada ya kuusemekewa kuwa ukanda wa bahari unaoizunguka Zanziba una mafuta. Kuna sauti za nguvu sana zilizosikika kutoka Zanzinbar zikidai kuwa hata kama mafuta hayo ni kinibu tu, ni mali ya Zanziba nma walamyasiguswe na serikali ya Dodoma. Ni miaka imepita sasa, kelele hizo zimetoweka lakini magfuta hayajulikani yalikwenda wapi.

Kuna taarifa zozote mpya kuhusu mafuta hayo?

View: https://twitter.com/TheCitizenTz/status/1796543519114604705?t=JRBE_6c0u-JiU0r4yFJjvA&s=19
 
Mafuta ya kizenjibari ukianza kuyachimba tu, walahi walahi bara Arab mafuta yote yatakauka walah, walah, maana tuliaminishwa pale zanjiberi ndiyo chemi chemi inayoyatiririsha kuelekea bara Arab, tulilishwa ujinga enzi hizowalah.
 
Back
Top Bottom