Hua wanafanya cost analysis kwanza, gharama za kuchimba hayo mafuta na kiasi Cha mafuta yaliyopo, Kama mafuta ni machache kuliko gharama za kuyachimba mradi unaishia hapoMiaka ya nyuma kidogo uliibuka mvutano baada ya kuusemekewa kuwa ukanda wa bahari unaoizunguka Zanziba una mafuta. Kuna sauti za nguvu sana zilizosikika kutoka Zanzinbar zikidai kuwa hata kama mafuta hayo ni kinibu tu, ni mali ya Zanziba nma walamyasiguswe na serikali ya Dodoma. Ni miaka imepita sasa, kelele hizo zimetoweka lakini magfuta hayajulikani yalikwenda wapi.
Kuna taarifa zozote mpya kuhusu mafuta hayo?
Basi hakukuwa na haja ya kushupaliana mishipa wakati ule kugombania mafuta ambayo hawakuwa na uhaklika wa kuyachimba. Nusura muungano uvunjikeHua wanafanya cost analysis kwanza, gharama za kuchimba hayo mafuta na kiasi Cha mafuta yaliyopo, Kama mafuta ni machache kuliko gharama za kuyachimba mradi unaishia hapo
waarabu pori bhana bora yasiwepo hayo mafuta wajeuri kama vitoto vya mamba vikitoka kwenye yai tu vinafoka na kutaka kukung'ata.Miaka ya nyuma kidogo uliibuka mvutano baada ya kuusemekewa kuwa ukanda wa bahari unaoizunguka Zanziba una mafuta. Kuna sauti za nguvu sana zilizosikika kutoka Zanzinbar zikidai kuwa hata kama mafuta hayo ni kinibu tu, ni mali ya Zanziba nma walamyasiguswe na serikali ya Dodoma. Ni miaka imepita sasa, kelele hizo zimetoweka lakini magfuta hayajulikani yalikwenda wapi.
Kuna taarifa zozote mpya kuhusu mafuta hayo?
Yapo ila wanadai siyo ya muungano, kwao kila kitu siyo cha muunganoMiaka ya nyuma kidogo uliibuka mvutano baada ya kuusemekewa kuwa ukanda wa bahari unaoizunguka Zanziba una mafuta. Kuna sauti za nguvu sana zilizosikika kutoka Zanzinbar zikidai kuwa hata kama mafuta hayo ni kinibu tu, ni mali ya Zanziba nma walamyasiguswe na serikali ya Dodoma. Ni miaka imepita sasa, kelele hizo zimetoweka lakini magfuta hayajulikani yalikwenda wapi.
Kuna taarifa zozote mpya kuhusu mafuta hayo?
Upo sahihi sn mwambaUbinafsi tu wa wazanzibari, ingawa wanasababu
Wanajua ccm hawana Nia njema na hii nchi
Wazanzibari wanajua ccm wameuza Kila kitu huku bara na wakizubaa huenda ccm wakayauza
Wabuguzi snwaarabu pori bhana bora yasiwepo hayo mafuta wajeuri kama vitoto vya mamba vikitoka kwenye yai tu vinafoka na kutaka kukung'ata.
Wawape watu wachimbe bureHua wanafanya cost analysis kwanza, gharama za kuchimba hayo mafuta na kiasi Cha mafuta yaliyopo, Kama mafuta ni machache kuliko gharama za kuyachimba mradi unaishia hapo
Miaka ya nyuma kidogo uliibuka mvutano baada ya kuusemekewa kuwa ukanda wa bahari unaoizunguka Zanziba una mafuta. Kuna sauti za nguvu sana zilizosikika kutoka Zanzinbar zikidai kuwa hata kama mafuta hayo ni kinibu tu, ni mali ya Zanziba nma walamyasiguswe na serikali ya Dodoma. Ni miaka imepita sasa, kelele hizo zimetoweka lakini magfuta hayajulikani yalikwenda wapi.
Kuna taarifa zozote mpya kuhusu mafuta hayo?