Mafuta yaanza kupungua...

The King

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2010
Posts
357
Reaction score
1
Naona idadi ya vituo vya kuuzia petroli ambavyo wanadai wameishiwa imeongezeka sana siku hizi mbili. Nina wasiwasi wanahodhi ili wayalangue wiki ijayo kwa kisingizo cha kuadimika
 
Ni kweli kwa sababu uchakachuaji umesitishwa kwa kuogopa kwamba Chadema itachukua nchi:bowl:
 
na hao hao wengi wao ndio wafadhili wa t-shirt na mabango yetu
 
Kuna taarifa nimezipata punde kuwa kutakuwa na shortage ya mafuta hasa ya Petrol mara to baada ya uchaguzi so nawajulisha wana JF mwende petrol stations mkajaze magari yenu full tank...
 
Kuna taarifa nimezipata punde kuwa kutakuwa na shortage ya mafuta hasa ya Petrol mara to baada ya uchaguzi so nawajulisha wana JF mwende petrol stations mkajaze magari yenu full tank...
bei ishapanda tayari, na wabongo walivyo waungwana wa shida wanajaza mafuta tu bila kujihoji kama ni sahihi au la.
ntashangaa sana watanzania wakichagua MAAFA.
 
wapi bana weee!
ukijaza full tenk then what?
 
Kwa mtakaoichagua ccm na mafisadi wake dhambi hiyo na iwatafune kizazi hata kizazi!
 
Duh!itakuwa ina madhara makubwa kwa uchumi!nashukuru kwa taarifa!!!
 
bei ishapanda tayari, na wabongo walivyo waungwana wa shida wanajaza mafuta tu bila kujihoji kama ni sahihi au la.
ntashangaa sana watanzania wakichagua MAAFA.

nadhani hii ni maalum kwa mafisadi waliochangia gharama za uchaguzi kurejesha fedha zao.
 
Ahsante kwa taarifa!
Inabidi kuhifadhi vidumu kwenye stoo sasa!
Utakuta upungufu huo upo hata muda huu, lakini wanatumia gharama yoyote kuuziba!...CCM wanapofurukuta kujiokoa wanaweza fanya lolote, hawaaminiki.
 
Upungufu huo utakuwa ni wa kupanga au ni hali halisi? Kama ni wa kupanga, ni kwa sababu gani?
 
ccm wamekomba HAZINA na sasa wanahaha kurejesha funds kwani wanahisi ndo kitumbua kipo mchangani. nahisi hii shortage ni ya kupanga kwani kuna manuva ipo mahala na duniani hakujatangazwa downfall ya uzalishaji mafuta.

hivi tujikumbushe lile tukio la mafuta kuwagika bandarini, ziliteketea lita ngapi vile???? fidia ililipwa na nani?
 

Connecting... the dots.... Thanks mkuu
 
Kuna mtu anasamabaza ujumbe kwenye simu tangu juzi jioni kuhusu swala hili. Sijui ni SI HASA au kweli kutakuwepo na shortage ya hio gesi? na nn kimesqababisha? mbona wahusika EWURA wapo kimya? Kwa nn wasitoe tamko kama DUWASA walivyosema maji ya mto ruvu kwishne?
 
kwa hiyo akiba ni FULL TANK?.....

ha ha ha!acha hizo bwana mkubwa
Akiba sio tu full tank kaka tumia na common sense yako kumake sure una akiba hata ukiamua kujaza madumu na kuweka home ni sawa kweli nimeamini common sense is not common to everybody
 
Niliandika kuhusu hili jana na siamini kwamba kutakuwa na shortage ya ukweli kwa sababu sasa hivi duniani hakuna shortage ya mafuta hivyo kwanini hali hii itokee nchini tu tena baada ya uchaguzi? wanayahodhi ili wiki ijayo watubamize kwa lita moja kwa shilingi 2,000 au hata zaidi ili kutengeneza faida kubwa sana.
 
Serikali iko wapi kutoa tangazo ili kuhakikishia kwamba kutakuwa na mafuta ya kutosha nchini hata baada ya uchaguzi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…