Mafuta yapi huotesha nywele (Upara)

Mafuta yapi huotesha nywele (Upara)

Msukuma wa dar

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2016
Posts
1,160
Reaction score
1,195
Wapo baadhi ya watu nimeona nywele zao zikiendelea kuimarika siku hadi siku baada ya kuathiriwa na Upara.

TID, huyu jamaa kuna kipindi alinyonyoka kabisa. Kipara kilikuwa kikionekana wazi wazi. Lakini kwa sasa si haba , ananywele. Ni jambo la kheri..

Samisago.
Huyu jamaa hakuna asiyejua kama alikuwa na uwaraza. Lakini kwa sasa jamaa kafuga hadi vi- Dready.

TBway. Huyu nae nywele zake zilikuwa zinaanzia ktkt ya kichwa. Lakini kwa sasa yuko Gudi.

Wakuu kwani dawa ni Ipi..
Wengine vichwa vya kunyoa Upara hatuna. Na maisha ya kuvaa kofia mda wote hatuwezi.
 
Mkuu nichek nnayo mafuta 0765 494548
IMG-20200520-WA0005.jpeg
IMG-20200520-WA0000.jpeg
 
Kwa vijana wenye hatari ya nywele kupotea upara/uwalaza ulaji wa mbegu za maboga unaweza kusaidia.

Ulaji wa mbegu za maboga unasaidia pia kupunguza hatari ya tezi dume na kuicontrol kabisa.
Tukirudi kwenye upara kuna mafuta yenye mchanganyiko wa nyonyo na mafuta ya mbegu za maboga unaweza kusaidiana na ulaji wa mbegu za maboga. Kumbuka kuzuia zisipotee ni rahisi kuliko kujaribu kuzifufua.
sahiliproductions.JPG


And lower your expectations, stress accelerates hair loss. Yatumie kama mafuta ya nywele zaidi mawazo ya dawa yapunguze maana vingine na asili inachangia.
 
Back
Top Bottom