Msukuma wa dar
JF-Expert Member
- Jul 14, 2016
- 1,160
- 1,195
- Thread starter
-
- #21
Kwetu poaaaah tyuuh,
Dj bora kwangu ni djommycrazyHuyu ni zaidi ya DJ sasa kuna jinga litasema eti DJ d ommy sijui
Dj bora kwangu ni djommycrazy
Radio platform gani naweza msikiliza huyo fuvuu..Ukimkubal ommy bas utakuw hujawai msklza Fuvu babyy... Maana Ommy anakop vibe la mchz..
Radio platform gani naweza msikiliza huyo fuvuu..
Baada ya mapambano makali ya CCM na CHADEMA saizi ni muda wa kuangalia movie maana tuliweka wasiwasi kwenye kila kitu ili kuhakikisha CHADEMA inapata walau wabunge wawili kwenye uchaguzi wa 2020.. Kwa vulumai zilizopo Mbeya ni muda ya SUGU kusaidia CCM ipite bila kupigwa maana naye amekamilisha miaka 10β¦Yule Dj anayekufanya uupende mzk kashakabidhiwa ofisi hukooo.. na jamaa amerudi na vibe yan paka anakeraaa.. Times Fm. Kpnd Zege. Mda n mchana..
Baada ya mapambano makali ya CCM na CHADEMA saizi ni muda wa kuangalia movie maana tuliweka wasiwasi kwenye kila kitu ili kuhakikisha CHADEMA inapata walau wabunge wawili kwenye uchaguzi wa 2020.. Kwa vulumai zilizopo Mbeya ni muda ya SUGU kusaidia CCM ipite bila kupigwa maana naye amekamilisha miaka 10β¦
Watu wa interest mlisahau hii movie
[emoji23][emoji23][emoji23] kwanini tena lol?Aah.. naona leo umeamua ujweke kwa avatar kabsa. [emoji2]
saikolojiaUtakuwa na shida sehem..
Hayo mapambano ya ccm na CDM yamefanyika kwa mtindo upi..
[emoji23][emoji23][emoji23] kwanini tena lol?
Hyo apo mzeeRadio platform gani naweza msikiliza huyo fuvuu..
Kila J5 kuanzia tisa alasiri..mkuu huo mda ukifika naomba uwe unanishitua
Et eeeh bas sawaaah lolAaahh.. s naona pcha ya Coca hapo[emoji23]
Mhhh..Et eeeh bas sawaaah lol
Nimeshamfollow.. nakumbuka wayback 2013 alikuwa dj kwenye harusi ya mshkaji wangu kimara temboni.Hyo apo mzeeView attachment 1492826
πππKila J5 kuanzia tisa alasiri..
Pichani presenters wakifurahia mizuka ya fuvu ndan ya stidioView attachment 1492827
Aaahh.. labda kwa upande wa Female djDJ Sinyorita ndiyo kiboko yao
Nimeshamfollow.. nakumbuka wayback 2013 alikuwa dj kwenye harusi ya mshkaji wangu kimara temboni.