Magaidi wa jihad wakutana na walaji watu wa Mali, unyama kwa unyama, yetu macho

إِذْ يُوحِي رَبُّكَ إِلَى الْمَلَائِكَةِ أَنِّي مَعَكُمْ فَثَبِّتُوا الَّذِينَ آمَنُوا ۚ سَأُلْقِي فِي قُلُوبِ الَّذِينَ كَفَرُوا الرُّعْبَ فَاضْرِبُوا فَوْقَ الْأَعْنَاقِ وَاضْرِبُوا مِنْهُمْ كُلَّ بَنَانٍ
Mola wako Mlezi alipo wafunulia Malaika: Hakika Mimi ni pamoja nanyi, basi watieni nguvu walio amini. Nitatia woga katika nyoyo za walio kufuru. Basi wapigeni juu ya shingo na wapigeni kwenye kila ncha za vidole.(QUR'AN 8:12)
 
Ukiondoa upuuzi unaofanywa na viongozi nchini. I say I'm lucky to be Tanzanian. Hakuna watu wenye udini kama kwa hao wapuuzi huko. Watu ni wastaarabu au hawana ubavu wa kuchafua amani ya nchi.

Yule mshenzi Trump hakukosea kuliita bara shithole.
 
Magaidi sio watu kabisa. Ukiingia kwenye anga zao wanakufanya kitoweo kwa kigezo cha kumpigania allah.

Wakiwa brainwashed na kile kitabu chao wanakua mazombi kabisa na ndio maana jamaa wameamua kudeal nao kigaidi
Nachukia magaidi ya kidini yalimuuwa na Joshua huku yanaimba wimbo wa kigaidi "Allahu akbar"
 
Mpumbavu kabsa aliyesema hayo maneno...bora angeishia kuwa ahidi mabikira 72 peponi basi
 
也每次也讨论产业发展条例草案内容
 
Halafu kumbuka Mali ni Waisilamu na bado Magaidi wanaua raia na kubomoa Makaburi na Misikiti.
 
Mbwa kala mbwa
 
😂😂😂
 
Umeni kumbusha mbali sana ndugu yangu.

hukoo mabunga kyela vijijini kuna mto unaitwa lufilyo Sasa kutokana na bonde lile la kyela maji ya mto huo hayaendi kwa Kasi na kina chake si kilefu sana

kitu kilicho wavutia mamba kufanya mto huo kuwa makazi yao. na kibaya zaidi wanainchi wa eneo lile huu tumia mto huo kwa matumizi mbali mbali

kama kufua,mifugo,kuvua,kuchepusha majinkwenda mashamba ya mipunga nk

sasa ilitokea Kama unavyo jua Mambo ya technology yetu Kuna wazee was Mambo hayo waliamua kujificha au kuishi nusu watu na busy mamba

kwa maana kwamba ukimzingua Basi anakutengenezea mazingila wewe uende mtoni lakini kabla wewe haujafika mtoni huko yeye anakuwa tayali yupo huko

akiwa kwenye umbile la mamba kwahiyo utakapo fika huko atakuvamia Kama mamba na mna weza kuwa mpo wengi lakini ukauwawa wewe tu

hali hiyo iliendelea siku Hadi siku ikafikia kipindi unaona dishi jioya linaelea juunya maji ukivutiwa kwenda kuliokota ume kwenda na mamba

sasa chief wa Kijiji hicho akashtukia mchezo akaita Baraza lake wakakaa na kujadiliana kwamba hii Hali imezidi na hapa hatuliwi na mamba wa kawaida Sasa tufanyeje ili kuizuia Hali hiii ?

Baada ya majadiliano ya mda mlefu wakagundua kwamba Hawa mamba Ni wakichawi sio mamba wa kawaida na wahusika wamewai kuonywa malanyingi lakini hawakusikia

nawazo pekee la kushindana mamba watu Hawa ni kwamba kuanzia leo/siku hiyo ya kikao.


mamba watakuwa nicha Kula Kama samaki,mdudu,ng'ombe nk kitu ambacho nisawa na wanavyo tuona sisi chakula

wazo likapita kwa makofi matatu kwa mazito chifu kwa chifubwakijiji kwa wazo zuli. Wanakijiji wakatangaziwa Hali halisi na jinsi ya kuikabili


vijana wakatengeneza nondo na minyololo Kama ndoano kwa samaki mamba wakaingia mkenge

wakaopolewa wakaletwa inchi kavu watu wakagawana nyama za mamba watoto shuleni walienda na mapande ya nyama zilizo kaangwa vizuuli na wali kwenye makopo yao ya chakula

walimu wakavutiwa na utamu wa nyama hiyo nyama ya mamba ikawa sehemu ya mlo wa Kila siku pale mabunga kijijini

chakushangaza

kila mamba alipo liwa haikupita siku mtu hajafa baadhi ya wazee wa jinsia zote na vijana wa makamo wakwanza kufa mfululizo

mamba wakaadimika na kupotea kabisa

nina Imani hao jamaa wakigeuka chakula watapotea kabisa

sikuhizi Wana mabunga wanasema wame miss nyama za mamba😂😂

 
Me Muislam ila siamini kama hao ni magaidi wa kiislam hiko ni kikundi tu kilichotengenezwa kuharibu utawala wa Mali dawa ya moto ni moto kazi iendelee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…