Magaidi walikodi nafasi ya duka Westgate Mall tangu Januari

Magaidi walikodi nafasi ya duka Westgate Mall tangu Januari

Setuba Noel

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2012
Posts
426
Reaction score
210
Wakala wa Al Shabaab alikodi fremu ya duka pale Westgate tangu January. Wakaanza kujaza stock ya silaha na mabomu kidogo kidogo bila kustukiwa. Jumamosi waliingia na silaha ndogondogo tu za kudhibiti walinzi getini, lakini nyingine kali zaidi zilikuwa ndani tayari, tena kwa wingi sana. Waliokodi chumba ni wengine na waliokuja kufanyiza ni wengine ambao wamejikusanya kutoka nchi tofauti katika mtandao wao.

Wadau hamuoni hapa Intelligence System ya Kenya ilizembea?
 
Hakuna uzembe wowote ni tukio la Kigaidi.... Uzembe ni pale wangeambiwa tutatia timu siku flan na saa flan mjipange tuje tupigane.... Kilichonisikitisha zaidi jamaa wamesepa wote kwenye mfereji wa taka.... Raisi wa kenya amepitiliza kwa Uongo no kuua no kuwamaliza no kuwashinda Magaidi....
 
Wakala wa Al Shabaab alikodi fremu ya duka pale Westgate tangu January. Wakaanza kujaza stock ya silaha na mabomu kidogo kidogo bila kustukiwa. Jumamosi waliingia na silaha ndogondogo tu za kudhibiti walinzi getini, lakini nyingine kali zaidi zilikuwa ndani tayari, tena kwa wingi sana. Waliokodi chumba ni wengine na waliokuja kufanyiza ni wengine ambao wamejikusanya kutoka nchi tofauti katika mtandao wao.

Wadau hamuoni hapa Intelligence System ya Kenya ilizembea?




ugaidi hakuna kuzembea
rejea kwa yaliyotokea
9/11
 
Hakuna uzembe wowote ni tukio la Kigaidi.... Uzembe ni pale wangeambiwa tutatia timu siku flan na saa flan mjipange tuje tupigane.... Kilichonisikitisha zaidi jamaa wamesepa wote kwenye mfereji wa taka.... Raisi wa kenya amepitiliza kwa Uongo no kuua no kuwamaliza no kuwashinda Magaidi....

Kwani wametoroka?
 
hizi habari bana sijui vipi kila mtu na lake kama za babu yetu wa loliondo
 
NIS had information for the attack in Nairobi between 13 to 21 September wakakaa kimya without taking action
 
Hakuna uzembe wowote ni tukio la Kigaidi.... Uzembe ni pale wangeambiwa tutatia timu siku flan na saa flan mjipange tuje tupigane.... Kilichonisikitisha zaidi jamaa wamesepa wote kwenye mfereji wa taka.... Raisi wa kenya amepitiliza kwa Uongo no kuua no kuwamaliza no kuwashinda Magaidi....

Uzembe upo maana hata wa mashambulizi askari walitakiwa kudhibiti kila eneo kuhakikisha hawatoroki, unfortunately Al-Shabab ni werevu kuliko jeshi ndiyo maana they,managed to escape through the tunnel with 100m from the mall to the river
 
UZEMBE ni changamoto kubwa kwa security agencies africa. Ukweli ndio umeanza kujidhihiri baada ya tukio kutokea kuwa walialifia na raia wema kitambo kuwa kuna terrorists wanapanga shambulizi.
 
dah! Ndio viongozi wakiambiwa wanakaa kimya, wakisemwa wanasema siri ....
 
Binafsi sioni uzembe wowote uliofanyika kwani ujanja waliotumia hawa jamaa hata FBI wangechemka. Sasa ni muda wa kuwateketeza hadi navizazi vyao.
 
Hakuna uzembe wowote ni tukio la Kigaidi.... Uzembe ni pale wangeambiwa tutatia timu siku flan na saa flan mjipange tuje tupigane.... Kilichonisikitisha zaidi jamaa wamesepa wote kwenye mfereji wa taka.... Raisi wa kenya amepitiliza kwa Uongo no kuua no kuwamaliza no kuwashinda Magaidi....
Du hivi kumbe walisepa!?
 
Uzembe upo maana hata wa mashambulizi askari walitakiwa kudhibiti kila eneo kuhakikisha hawatoroki, unfortunately Al-Shabab ni werevu kuliko jeshi ndiyo maana they,managed to escape through the tunnel with 100m from the mall to the river

hapa ndo mmmmh,,,,,
 
Uzembe upo maana hata wa mashambulizi askari walitakiwa kudhibiti kila eneo kuhakikisha hawatoroki, unfortunately Al-Shabab ni werevu kuliko jeshi ndiyo maana they,managed to escape through the tunnel with 100m from the mall to the river

Yani kilichotakiwa ni vyombo vya usalama kufanyia kazi mchoro mzima wa jengo na kutambua kwamba watekaji wanaweza ktoroka kupitia njia zipi. NIS hilikuwa na taarifa hila ikashindwa kujipanga vizuri. Sidhani kama kuna raia wa Israel haliyekufa pale; kwanini? Hivyo taarifa zilikuwepo na Kenya hikashindwa kuzifanyia kazi vizuri.
 
Yani kilichotakiwa ni vyombo vya usalama kufanyia kazi mchoro mzima wa jengo na kutambua kwamba watekaji wanaweza ktoroka kupitia njia zipi. NIS hilikuwa na taarifa hila ikashindwa kujipanga vizuri. Sidhani kama kuna raia wa Israel haliyekufa pale; kwanini? Hivyo taarifa zilikuwepo na Kenya hikashindwa kuzifanyia kazi vizuri.
jamani ni kweli kiswahili ni Tatizo???
 
Back
Top Bottom