Tetesi: Magaidi waloshambulia Madina ni mkono wa Israel

Kuna duru zinadai.kuwa israel ilihusika kwa namna zote katika mashambulizi ya kigaidi yalotokea madina
Hili wadau walitabiri humu humu jf mara tu baada ya mlipuko. Tulisubiri muda tu
 
Mbona Israel munaionea kila tukio likifanyika israeli, Hivi hao magaidi wana support na serikali ya mfalme wa saud Arabia ndo matatizo ya kugawa silah kwa vikundi vya kigaid Siku ya Siku wanawageuka ndo matatizo hayo.
 
Kwa ufinyu wa akili kama huo ndo maana ISIS wanawalipua kila siku badala ya kuface reality mnapotosha watu eti Israel???
 
Hivi ni kwanini waislamu kila jambo baya likwapata mnatafuta mchawi na kwanini dini yenu tu ndo inatumika na marekani kama mnavyosema wakati duniani kuna dini nyingi?
Siku zote mti wenye matunda ndio hupigwa mawe.Israel ndio kinara wa kuvuruga amani mashariki ya kati wakishirikiana na marekani sasa wewe inakuuma nini wakishtumiwa waisrael?
 
Siku zote mti wenye matunda ndio hupigwa mawe.Israel ndio kinara wa kuvuruga amani mashariki ya kati wakishirikiana na marekani sasa wewe inakuuma nini wakishtumiwa waisrael?
 
Yawezekana kabisa maana hawa jamaa ndo chokochoko zote duniani hawapendi kuona watu wanaishi kwa raha

Sijui kizazi hiki cha Israel kina laana ya nani.
 
Naona hizi dini zilizokuja na mitumbwi zinatutenganisha sasa
Acha mie nikatambike mizimu dini yangu asilia ya mababu zangu [emoji84][emoji84][emoji84][emoji83][emoji83][emoji83][emoji317][emoji317][emoji317]
 
Nyie wakiristo mngelifikiri hao mayahudi wanavyowachukia nyinyi msingewapenda.
 
Mayahud ndie waliemkataa yesu na kumuua ambaye nyie huyo yesu mnamwita Mungu na Waislam yesu wenu wanamkubali kama mtume.je kwani mnawapenda mayahudi na mnawachukia Waislam tumien akili kufikiria mkristo hupaswi kumchukia muislam bali inapaswa kchukua mhahudi.
 
Naona hizi dini zilizokuja na mitumbwi zinatutenganisha sasa
Acha mie nikatambike mizimu dini yangu asilia ya mababu zangu [emoji84][emoji84][emoji84][emoji83][emoji83][emoji83][emoji317][emoji317][emoji317]
Tulifanya kosa kukubali dini za kuletewa wakati tulikuwa na zetu,historia itaendelea kututafuna kama mla nyama ya mtu,asiyejua kuwa israel na muislam ni tom and jery ni mjinga.
 
Wewe ni kama zezeta vile maana hujitambua nahisi na ndivyo ulivyo wewe ni mfuga Midevu na Majini.
 
Nyie wakiristo mngelifikiri hao mayahudi wanavyowachukia nyinyi msingewapenda.
Ulivyo mjinga wewe usifikiri ni wote wako kama wewe pandikiza chuki hizo kwa SHIA na SUNNI kwetu umegonga mwamba sisi tumefundishwa Upendo ila ninyi ni chuki.
 
Sawa kwa hayo matusi halafu unasema huna upendo wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…