superstar1
JF-Expert Member
- Oct 10, 2014
- 222
- 176
Jamani naomba mtu mwenye uelewa na hili jambo anieleweshe. Hivi magaidi huwa wanataka nini ili waache mauaji na kutulia? (AlQaeda, Al Shabaab, BokoHaram etc). Kila theory ninayojaribu kuijenga nafika sehemu nakwama. Thanks.