Wanataka prestige wkt uwezo mdogo.Bongo sijawai waelewa watuHuwa naona Gari unakuta ni Lexus ila kwenye zile Logo kama zibenadilishwa ivi mi huwa nahisi mwanzo ilikua Harrier sasa kwa nini wafanye vile? ni kitu kidogo ukikitizama ila nahisi kuna kitu apo yani Ukicheki Logo ya Mbele pale kwenye show case Nyuma kwenye Starring zote zimechezeshwa kwani kuna nini hasa hapa?
Haya magari pamoja na Audi mbona engine size kubwa sana?
Unakuta gari ndogo tu size ya IST lakini engine cc 3150
Mkuu ulifanikiwa kuvuta benz c class unipe uzoefu!?Vipi kuhusu mercedez benz c class mafundi wake na spare zinapatikana hapa bongo? Cz nina mpango wa kuagiza c class kutoka nje nisije jutia
Hautojuta...vuta kitu uta enjoy..haichoshi...agiza..usichukue kwa mtuMkuu ulifanikiwa kuvuta benz c class unipe uzoefu!?
Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
Mercedes hawakurupukii techs mpya wanaendelea kuboresha zile zile ambazo walishakuwa nazo awali! Kwahio refinement ikifanyika gari inakuwa haisumbui sana.Mercedes nawaamini sana walitengeneza gari hayana matatizo ya umeme sana kama bmw mercedes ikianza kusumbua ujue imekaa sio bima yenyewe hata toleo jipya inachanganya mafaili...
Mkuu,kuhusu haya magari kodi zake,je nikilinunua nje huko mimi mwenyewe nilinunue likiwa used nije nalo hapa Tanzania nitatakiwa kulisajili ndani ya muda gani ?View attachment 443027
Benz ya 2015 model zipo vizuri hizo mashine ni vile kodi yake ipo sawa na bei yake ndio maana tunakimbilia kwenye toyota hiyo gari ugusi kitu zaidi ya kumwaga oil kwa kipindi kirefu sana..
Wanataka prestige wkt uwezo mdogo.
Hata hapa town kuna Bmw 3 series za kawaida tu mtu ameweka badge ya M3,nyingine marcedes za kawaida ila wameiwekea badge ya AMG.
Ndio mambo ya mjini hayo.
Mkuu gari aina gani unataka wewe ukipenda gari zuri changa tafuta la miaka ya karibuni ulilolipenda nunua tumia mpaka lianze kukusumbua sio leo maana ukiingia humu kila gari ni bovu harafu mtaani hayapo huo ubovu sijui wameujulia wapi...Mkuu,kuhusu haya magari kodi zake,je nikilinunua nje huko mimi mwenyewe nilinunue likiwa used nije nalo hapa Tanzania nitatakiwa kulisajili ndani ya muda gani ?
Na ukiingia kwenye Benz hutoki ni gari ya tofauti sana MkuuKweli kaka Isanga, unajua watu tuna sikiliza sana maneno ya watu juu ya gari isiyo toyota... Benz sina experience nayo sana ila frankly % kubwa ya wamiliki sijawahi kuona waki lalama... mi naamini hata gari za toyota ukiwa na fundi asiyemzuri lzm ikusumbue.. yaan mi afe simba afe masai gari yangu ya 2 itakuwa Benz.. tuombe uzima
kuna defender tdi za miaka ya 2005-6 hapo nazikubali,nitafanya hivo bossMkuu gari aina gani unataka wewe ukipenda gari zuri changa tafuta la miaka ya karibuni ulilolipenda nunua tumia mpaka lianze kukusumbua sio leo maana ukiingia humu kila gari ni bovu harafu mtaani hayapo huo ubovu sijui wameujulia wapi...
OK defender Tdi ni gari aisee...kuna defender tdi za miaka ya 2005-6 hapo nazikubali,nitafanya hivo boss
Sio gari zote za Ulaya,Mfano Uingereza,bado benz,VW n.k ni right hand Ukipata left hand ni imported direct from Germany.Tatizo la gari nyingi za Ulaya Usukani wake upo upande wa kushoto hivyo kuleta changamoto ya Matumizi hapa nchini