Magari au vitanda vinavyotembea?

Kutwa kuwaza ngono zembe,utadanja aisee angalia hizi mambo..
 
Binafsi nimewahi fanya ila haizidi mara tatu... kwakweli ilikua poa sana japo nili-underperform kutokana na wasiwasi na kulazimika kurudia mechi sehem muafaka.. ila zile moment tu huwa sizisahau...
Shuka kama nawewe ulishawahi na ilikuaje

Mimi ilikua kwenye daladala la gongolamboto/ mwenge kiukweli sitakuja kusahau ilikua balaa
 
Ni kweli, mapenzi kwenye gari ni matokeo ya BRN
Hayo ni mambo ya faragha, akili inayoamua kuyaleta hapa tena kwa style ambayo inaonyesha hapakuwa na uhitaji wa kufanya hivyo inaonyesha namna gani akili haikushilikishwa katika maamuzi sahihi!
 
Hayo ni mambo ya faragha, akili inayoamua kuyaleta hapa tena kwa style ambayo inaonyesha hapakuwa na uhitaji wa kufanya hivyo inaonyesha namna gani akili haikushilikishwa katika maamuzi sahihi!

Basi we ndo umepotea... hili sio jukwaa la mapenz kwani? Mapenzi ni chumbani tu? Think again....kama ni kitu kipya kwako piga kimya skilizia
 
Waliochangia Uzi huu wote inabidi watubu zambi kwa Mungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…