muuza ubuyu
JF-Expert Member
- Nov 23, 2010
- 3,539
- 3,551
kama yako ni mzigo wa mawe
Hawa viongozi ndiyo walioifikisha hapa nchi yetu na BRN yao!
Kutwa kuwaza ngono zembe,utadanja aisee angalia hizi mambo..
Nani huyo
Binafsi nimewahi fanya ila haizidi mara tatu... kwakweli ilikua poa sana japo nili-underperform kutokana na wasiwasi na kulazimika kurudia mechi sehem muafaka.. ila zile moment tu huwa sizisahau...
Shuka kama nawewe ulishawahi na ilikuaje
Hayo ni mambo ya faragha, akili inayoamua kuyaleta hapa tena kwa style ambayo inaonyesha hapakuwa na uhitaji wa kufanya hivyo inaonyesha namna gani akili haikushilikishwa katika maamuzi sahihi!Ni kweli, mapenzi kwenye gari ni matokeo ya BRN
Hayo ni mambo ya faragha, akili inayoamua kuyaleta hapa tena kwa style ambayo inaonyesha hapakuwa na uhitaji wa kufanya hivyo inaonyesha namna gani akili haikushilikishwa katika maamuzi sahihi!
Mwaka huu nimeona kila aina ya sredi...
Unaweza kukuta mwanaume ndo kaanzisha hii thread..wew umeshirikisha ubongo kweli???
Mimi nimewahi kufanya kwenye daladala...,..ilikuwa Tamu sana.....
Haya..... kama we hufanyi mmeo anafanya... atatiririka humu
Watu kama nyinyi nchi inakosa maendeleo upuuzi kama huu huwezi kuwana na mawazo ya msingi na huo unene wako