Mie pia siyapendi hadi najiskia kutapika. Overdesigned peace of shit worth a million dollars!Sijui ni ushamba? Mie si muumini wa migari yenye huo muonekano wa kirobot robot!
Naonaga ni mabayaa japo yana bei ghari!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hamchelewi kuanza kulalamika oooh hatuna maji ya bomba wao wananunua magari
Sio practical kwa mazingira yetu. Ila wapo jamaa wanauwezo wa kulinunua.Hiyo Bugatti ni mwisho wa matatizo aiseeee, hivi na matajiri woooote bongo hii hakuna anayemiliki hilo ndinga????
Hadi ziwe used up to 20 yrs later ndiyo zije Bongo.
Just Imagine. Uwezo wetu ni wa kujaza IST. Kazi ipo !Na bado zitatushinda sababu ya wese.
Mentainance cost ni sida kwa bongo tunapenda gari kupeleka service kawaida iaizidi laki1 sasa hilo tuu spare mpaka ulayaNa bado zitatushinda sababu ya wese.