๐— ๐—ฎ๐—ด๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ ๐—บ๐—ฎ๐—ฝ๐˜†๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐— ๐˜„๐—ฒ๐—ป๐—ฑ๐—ผ๐—ธ๐—ฎ๐˜€๐—ถ ๐˜†๐—ฎ๐—ป๐—ฎ๐˜†๐—ผ๐˜๐˜‚๐—บ๐—ถ๐—ฎ ๐—š๐—ฎ๐˜€ ๐—ธ๐˜‚๐˜„๐—ฎ๐˜€๐—ถ๐—น๐—ถ ๐—ง๐—ฎ๐—ป๐˜‡๐—ฎ๐—ป๐—ถ๐—ฎ

๐— ๐—ฎ๐—ด๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ ๐—บ๐—ฎ๐—ฝ๐˜†๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐— ๐˜„๐—ฒ๐—ป๐—ฑ๐—ผ๐—ธ๐—ฎ๐˜€๐—ถ ๐˜†๐—ฎ๐—ป๐—ฎ๐˜†๐—ผ๐˜๐˜‚๐—บ๐—ถ๐—ฎ ๐—š๐—ฎ๐˜€ ๐—ธ๐˜‚๐˜„๐—ฎ๐˜€๐—ถ๐—น๐—ถ ๐—ง๐—ฎ๐—ป๐˜‡๐—ฎ๐—ป๐—ถ๐—ฎ

Teknolojia ni Yetu sote

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2020
Posts
620
Reaction score
1,240
๐— ๐—ฎ๐—ด๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ ๐—บ๐—ฎ๐—ฝ๐˜†๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐— ๐˜„๐—ฒ๐—ป๐—ฑ๐—ผ๐—ธ๐—ฎ๐˜€๐—ถ ๐˜†๐—ฎ๐—ป๐—ฎ๐˜†๐—ผ๐˜๐˜‚๐—บ๐—ถ๐—ฎ ๐—š๐—ฎ๐˜€ ๐—ธ๐˜‚๐˜„๐—ฎ๐˜€๐—ถ๐—น๐—ถ ๐—ง๐—ฎ๐—ป๐˜‡๐—ฎ๐—ป๐—ถ๐—ฎ

1_20250101_085830_0000.png


Wakati upanuzi wa barabara za Mwendokasi ukiendelea ili kurahisisha Usafiri nchini Tanzania. Tanzania sasa inasubiria mabasi zaidi ya 250 kutoka nchini China ili kuanza kufanya kazi kwa awamu ya pili ya mabasi yaendayo haraka (BRT) yanajulikana kwa jina la "Mwendokasi".

2_20250101_085830_0001.png


Bado ujenzi unaendelea katika njia mbalimbali zenye urefu wa kilomita 20.3 inayoanzia katikati ya jiji hadi maeneo ya Mbagala kupitia barabara ya kilwa ambayo kwa asilimia kubwa ilikamilika toka Agosti 2024 lakini bado haijaaanza kutumika kutokana na kutokuwepo kwa mabasi hayo.

3_20250101_085830_0002.png


Mtendaji mkuu wa mabasi yaendayo haraka dar Es salaam (Dary) Bw. Athumani kihamia aliliambia mwananchi kuwa mradi huo wa mabasi awamu ya pili yapo katika hatua ya mwisho ya maandalizi hivyo yanaweza kuwathili kuanzia miezi miwili mpaka mitatu ijayo.

images - 2025-01-01T091237.313.jpeg


Awamu hii ya pili ya magari yatakua na uwezo wa kutumia Umeme pamoja na Gas magari hayo yanatengenezwa na kusambazwa na kampuni ya Scania Marcopolo. ambayo lengo ni kuweza kusaidia kwenye kupunguza uchafuzi wa mazingira.

4_20250101_085830_0003.png


Gharama zilizotumika kujenga ni dola milioni 159.32 na Kampuni ya Sinohydro Construction limited (SCL) toka China.
 
Nasikia na taasisi za umma nazo ni marufuku kutumia mkaa au kuni ni mwendo wa gas na umeme.

Tutaweza kweli? Au ndio machaka mapya ya upigaji?
 
Nasikia na taasisi za umma nazo ni marufuku kutumia mkaa au kuni ni mwendo wa gas na umeme.

Tutaweza kweli? Au ndio machaka mapya ya upigaji?
Upigaji lazima utakuwepo ila mwanzo ni mzuri mpk sasa,ni swala la kuchange mindset tu hasa mijini,kwa vijijini kuni na mkaa vinaweza kuchukua miongo kadhaa kuachwa...
 
Back
Top Bottom