Magari ya Biashara
Senior Member
- Sep 16, 2019
- 183
- 578
Agiza tu boss, hakuna tatizohiyo bei ni bei ya gari mpya kutoka japan..
Hatujui kutunza tena kama hizi gari za mambio aloo unaikuta ishakuwa faked sana yaani wanaifaki mpka ijute. Alafu service za mchongo.Kununua gari kutoka mikononi mwa m-Tanzania ni kununua ugonjwa wa moyo na kujitakia kifo cha mapema kutokana na presha ya moyo.
Haki ya nani walahi ka tvs kashanichosha nanyeshewa kama mtiSema kweli?? 😁😁😁
Haki ya nani walahi ka tvs kashanichosha nanyeshewa kama mti
Gari inakua ya alietoa kikubwa ila ukinitunuku skosi 300k ya kubadili kadi😁Sasanikileta 7mil inakua yangu au yako 😁😁
😁😁😁😁 aah ushaanza njaa mapema yote hiiGari inakua ya alietoa kikubwa ila ukinitunuku skosi 300k ya kubadili kadi😁
Usiniumbie bas ww nae😁😁😁😁 aah ushaanza njaa mapema yote hii
ndio bei gani hizo bossMbona bei za kishirikina?
mpaka nimesisimuka Ni kumwaga moto tu, unaandaa na 20000 ya trafic wanoko kmmmmk