Magari na vyombo vingi vya usafiri ni nyezo za kale, sisi wa karne za karibuni hatuna akili au?

Magari na vyombo vingi vya usafiri ni nyezo za kale, sisi wa karne za karibuni hatuna akili au?

mbere

JF-Expert Member
Joined
Mar 5, 2015
Posts
6,967
Reaction score
6,465
Au tumebweteka kutumia vya wenzetu tu?

Mdau mbona hakuna tecnolojia na nyenzo mpya? Tumekalia modification tu gari linawekwa maurembo tu, sijui v8, sijui nini mayai, sijui kibao.

Karine hii tunasafiri masaa 13 Arusha Moshi.

Karine hii tunamulikana tochi barabarani kupunguza speed!

Ooohhh shiti!
 
Au tumebweteka kutumia vya wenzetu tu?

Mdau mbona hakuna tecnolojia na nyenzo mpya? Tumekalia modification tu gari linawekwa maurembo tu, sijui v8, sijui nini mayai, sijui kibao.

Karine hii tunasafiri masaa 13 Arusha Moshi.

Karine hii tunamulikana tochi barabarani kupunguza speed!

Ooohhh shiti!
We jamaa una akili sana tena sana. Big up !
 
Hebu njoo na technology mpya basis tofouti na closed system ckmbustion
 
Au tumebweteka kutumia vya wenzetu tu?

Mdau mbona hakuna tecnolojia na nyenzo mpya? Tumekalia modification tu gari linawekwa maurembo tu, sijui v8, sijui nini mayai, sijui kibao.

Karine hii tunasafiri masaa 13 Arusha Moshi.

Karine hii tunamulikana tochi barabarani kupunguza speed!

Ooohhh shiti!
Tunapoteza muda mwingi sana barabarani,halafu tunajidai tunatafuta maendeleo,ndio mana wazungu wanasema "there is no Harry in africa" kama kwa sasa wameanza na msako wa kukamata magari usiku mpaka kero
 
Tunapoteza muda mwingi sana barabarani,halafu tunajidai tunatafuta maendeleo,ndio mana wazungu wanasema "there is no Harry in africa" kama kwa sasa wameanza na msako wa kukamata magari usiku mpaka kero
Sure mkuu
 
Back
Top Bottom