Safi mkuu....vipi raumIFAHAMU GARI AMBAYO INAENDANA NA KIPATO CHA UCHUMI WA KATI
TOYOTA SIENTA
SECOND GENERETION
Toyota sienta ni gari ambalo kwa sasa watanzania wengi wameanza kulifikiria kutokana na hali ya uchumi imekaza sana halafu pia linatoa ushirikiano wa kutosha hhasa kipindi hiki cha uchumi wa kati lipo katika kundi la magari mvp ,gari hili ni dogo kwa umbo likiwa na urefu wa 5.5 m....likiwa na milango 5...
1.Porte bei yake kuanzia 8.9 milHabari wandugu.
Mwezi wa kumi mwaka huu, nakusudia kuchukua usafiri...
Sienta
Pia kuna gari zingine ambazo bei yake ni chini ya 10M mfanoHabari wandugu.
Mwezi wa kumi mwaka huu, nakusudia kuchukua usafiri...
Kama other things kept constant, na huna other alternatives, Porte abiria wa Nyuma anapitia mbele (usumbufu), yaani ina milango mitatu,Habari wandugu.
Mwezi wa kumi mwaka huu, nakusudia kuchukua usafiri...
Ahsante bossKama other things kept constant, na huna other alternatives, Porte abiria wa Nyuma anapitia mbele (usumbufu), yaani ina milango mitatu,
Chukua Sienta yenye 5doors.
Hamna gari humo,endelea kujichanga uchukue japo spacio au wish kama unaona ist imekua kama uniform ofisini kwakoNipe ushauri kaka. Unaposema rofauti na hizo za sokoni, ina maana nitafute ya kumvua mtu?
Wazo ni zuri na hata humu wapo walioshauri. Issue ni kupata hiyo gari wakati unapoihitaji.Kwa kuanzia ukitaka gari nzuri ya kwanza kumiliki, nunua ya mkononi hapa bongo, wapo wanaouza kwa shida na gari zimetunzwa vizuri, chenchi fanyia mambo mengine
Mkuu Honda fit na Runx ipi unaweza mshauri mtu kuichukua!IFAHAMU GARI AMBAYO INAENDANA NA KIPATO CHA UCHUMI WA KATI
TOYOTA SIENTA
SECOND GENERETION
Toyota sienta ni gari ambalo kwa sasa watanzania wengi wameanza kulifikiria kutokana na hali ya uchumi imekaza sana halafu pia linatoa ushirikiano wa kutosha hhasa kipindi hiki cha uchumi wa kati lipo katika kundi la magari mvp ,gari hili ni dogo kwa umbo likiwa na urefu wa 5.5 m....likiwa na milango 5...