weka picha za hayo magari Mkuu
Tatizo lililojitokeza sasa hivi MADALALI wote wameivamia kazi hii wameacha hata kuuza mahindi pale Tandale.
Magari hawana wanaanzisha magroup hasa huko Whatsapp na ukiangalia magari HAWANA ila wanadalalia ya wenzao kwa kuongeza hapo 500,000/
utasikia inatakiwa IST chapchap aliyenayo anione tunakula mkono hapo Tajiri kanikaba
- kwanini msiwe mnaweka na namba za wenye Magari? kuna Dada mmoja anauza gari yake yeye anaenda USA wiki ijayo, anataka 8m Madalali wameifkisha 10m wakati mwenyewe ana shida ya nauli (mnamkosesha usafiri)
- Gari ni mbovu ipo Tegeta ninyi mnapiga picha nyingine mikiambiwa ongezeni hata Dashboard mnasema gari haipo kumbe sio wamiliki
- Acheni biashara hizo hali kwa sasa ni ngumu vyuma vimekaza mtapata lawana wakutanisheni wanunuzi na wauzaji ninyi madala;i mtapewa % zenu la sivyo waacheni wakauze www.zoomtanzania.com
jerrybanks hili jina lina group ya Whatsapp kama sikosei ambapo gari hazitoki km nimefananisha sorry lkn weka gari tuzione na mimi nikupe langu uniuzie