jerryempire
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 5,530
- 9,550
- Thread starter
-
- #1,041
duh mzee rav 4 south africa unatoboa roho ya paka hizovipi kanaweza kusafiri mail nyingi?
maana Sina uzoefu na magari
dah sitaki nikupebkitu kibovu bosi wangu mwambie afike 6m nikitoe muhanga kumpa gari nzuri kwa 5m ist ni lawamaKuna jamaa anahitaji ist ya milioni 5 mkuu
Hiyo ipo ya 6,nimwambie akucheck? Nae hapo hapo towndah sitaki nikupebkitu kibovu bosi wangu mwambie afike 6m nikitoe muhanga kumpa gari nzuri kwa 5m ist ni lawama
Hebu nitumie hiyo picha nione mkuudah sitaki nikupebkitu kibovu bosi wangu mwambie afike 6m nikitoe muhanga kumpa gari nzuri kwa 5m ist ni lawama
kama anafika 6m mpe no yangu nimpe gariHiyo ipo ya 6,nimwambie akucheck? Nae hapo hapo town
zipo za kuanzia 7.5m no dMkuu unayo Noah new shape na inakwenda sh ngapi ?
Harrier Old Model iliyosimama Dede inaendaje?zipo za kuanzia 7.5m no d
12m unaipata namba d kaliHarrier Old Model iliyosimama Dede inaendaje?
Hebu nitumie uliyonayo WhatsApp, nmekupm12m unaipata namba d kali
nitext whatsapp 0623953036Hebu nitumie uliyonayo WhatsApp, nmekupm
Nilitafuta hiki chuma mwaka jana madalali wakawa wanaleta bei za ajabu ajabu. Nimeipenda style unayoitumia huweki bei za hovyo kama wengine. Tupia toyota SUV kama hii na hardtop kwa wingi, nimesubscribe.. itayonivutia tunafanya biasharalandcruiser hard top
engine 1HZ
inatumia diesel
bei inataka 16m
0623953036 calls/whatsappView attachment 1809925View attachment 1809926View attachment 1809927View attachment 1809928
karibu mkuuNilitafuta hiki chuma mwaka jana madalali wakawa wanaleta bei za ajabu ajabu. Nimeipenda style unayoitumia huweki bei za hovyo kama wengine. Tupia toyota SUV kama hii na hardtop kwa wingi, nimesubscribe.. itayonivutia tunafanya biashara