Car4Sale Magari used Tanzania

corola polis
mwaka 2005
engine 1490cc
bei 6m

je unahitaji kuuza gari yako?
Je unahitaji kununua gari nzuri?
Basi karibu sana jerry empire tukuhudumie
Tupo ilala dar es salaam
Tunafanya kazi siku zote za week
Wasiliana nasi
0623953036 whatsapp/call
 
Noah road tourer
Sr 40
Cc 1990
Engine 3s
Fuel petrol
Year 2000
Drive 2wd
Milleage 62400
bei 18m

je unahitaji kuuza gari yako?
Je unahitaji kununua gari nzuri?
Basi karibu sana jerry empire tukuhudumie
Tupo ilala dar es salaam
Tunafanya kazi siku zote za week
Wasiliana nasi
0623953036 whatsapp/call
 
Toyota ist
mwaka 2004
engine 1290cc
full ac
bei 9.5m

je unahitaji kuuza gari yako?
Je unahitaji kununua gari nzuri?
Basi karibu sana jerry empire tukuhudumie
Tupo ilala dar es salaam
Tunafanya kazi siku zote za week
Wasiliana nasi
0623953036 whatsapp/call
 
Toyota vitz
mwaka 2003
engine 990cc
full ac
bei 5.5m

je unahitaji kuuza gari yako?
Je unahitaji kununua gari nzuri?
Basi karibu sana jerry empire tukuhudumie
Tupo ilala dar es salaam
Tunafanya kazi siku zote za week
Wasiliana nasi
0623953036 whatsapp/call
 
Toyota allion
mwaka 2004
engine 1490cc
full ac
bei 7.5m

je unahitaji kuuza gari yako?
Je unahitaji kununua gari nzuri?
Basi karibu sana jerry empire tukuhudumie
Tupo ilala dar es salaam
Tunafanya kazi siku zote za week
Wasiliana nasi
0623953036 whatsapp/call
 
Toyota ist
mwaka 2007
engine 1290cc
full ac
bei 8.5m

je unahitaji kuuza gari yako?
Je unahitaji kununua gari nzuri?
Basi karibu sana jerry empire tukuhudumie
Tupo ilala dar es salaam
Tunafanya kazi siku zote za week
Wasiliana nasi
0623953036 whatsapp/call
 
TOYOTA HIACE DUNGU #DRS
ENGINE 2RZ
PETROL
MANUAL
FULL PAID
SPORTS RIMS
WELL MAINTAINED
PRICE MIL 26.5

je unahitaji kuuza gari yako?
Je unahitaji kununua gari nzuri?
Basi karibu sana jerry empire tukuhudumie
Tupo ilala dar es salaam
Tunafanya kazi siku zote za week
Wasiliana nasi
0623953036 whatsapp/call
 
Toyota vitz
mwaka 2003
engine 990cc
full ac
bei 4.7m

je unahitaji kuuza gari yako?
Je unahitaji kununua gari nzuri?
Basi karibu sana jerry empire tukuhudumie
Tupo ilala dar es salaam
Tunafanya kazi siku zote za week
Wasiliana nasi
0623953036 whatsapp/call
 
Acha tamaa za kingese hii gari ipo magomeni inauzwa mil 7 kamili nyie ndio mnazuia wateja mxxsshh
 
Acha tamaa za kingese hii gari ipo magomeni inauzwa mil 7 kamili nyie ndio mnazuia wateja mxxsshh
Ndugu
ustaarabu ni jambo la muhimu sana na laki binadamu pia unamtukana vipi mtu msenge hakiyakuwa hakuna alichokukosea? hiyo gari mimi ndo mmiliki niliinunua/ilenga kwa mtu nikairekebisha ndo nkaiuza tena siyo 8.5 bali 8.7m, si kila gari ninayoiposti humu ni ya mtu ndugu nyingine zangu na kila siku nawauzia wana jamii forum magari.

Ndo maana thread yangu kama utaisoma kuanzia mwanzo mpaka chini hujamuona mtu yoyote aliyekuja kulalamika kauziwa kitu kibovu,kazulumiwa, au amekuja kwangu nikafanya mazingira magumu asipate gari.

to be honest kwa ulivyonitukana umenikwaza sana mungu atakulipa kwani sitokujibu kwa ubaya kama ulivyotarajia.
 
spacio new
mwaka 2005
engine 1490cc
full ac
bei 9.5m

je unahitaji kuuza gari yako?
Je unahitaji kununua gari nzuri?
Basi karibu sana jerry empire tukuhudumie
Tupo ilala dar es salaam
Tunafanya kazi siku zote za week
Wasiliana nasi
0623953036 whatsapp/call
 
Siwezi bishana na wewe dalali mpuuzi uliyejaa tamaa. Hiyo mwenyewe kanitumia nimtafutie mteja.

 
muulize aliyekutumia gari kuwa gari ilikuwa inamilikiwa na nani mbona mzee unakurupuka tu nini dhamira yako maana nmeshndwa kukudefine.
Kwa hiyo mmliki unaiuza mil 8.5 alafu dalali ndio anaiuza mil 7? Point yangu acha kuharibu biashara za watu mnasambaza gari kwa bei kubwa mpaka watu wanaogopa kununua kumbe bei ni kawaida.
Sasa ni hivi mtu anifate PM nimdirect akanunue alafu tutamaliza ubishi gari ni ya nani.


Stupid fool!
 
Leo na wewe umekuwa mstaarabu wa kutoa ushauri nasaha baada ya kutukanwa! Unaomba kabisa kwa Mungu akulipie kwa ubaya uliofanyiwa!

Kuna siku ulikuja humu jukwaani na uzi wako wa kufiwa. Kwa wema kabisa nikauliza iwapo ile taarifa ilikua inakuhusu mwenyewe, au uliitoa tu mahali fulani kwa lengo la kuja kutupa funzo kutokana na kushamiri kwa vifo vingi vya corona!

Kilichotokea ulinitukana matusi ya kutosha tu! Wewe msenge!! Kum.aamae nini sijui!! Nakukumbuka sana. Halafu leo eti unakuja kulia lia hapa ili uonewe huruma! Hii ndiyo maana ya KARMA. Kuwa tu mpole.

By the way, huu uzi wako huwa naupitia mara nyingi maana kuna gari naitafuta. Na hata siku nikiipata kwako, nitakutafuta tu kwa ajili ya kufanya biashara. Lakini kamwe siwezi kukusahau. Mtoto mdogo kiumri, halafu unatukana watu wazima matusi ya nguoni. Kisa umefiwa na wanafamilia yako.
 
duh mzee matusi yote hayo nmekutukana mimi@Moderator naombeni muyapitia hayo matusi niliyomtukana bwana Tate Mkuu mkuu na ikiidhinishwa ni kweli naomba nipigwa ban maana ntakuwa niko nje ya masharti ya kutomia na kama anayoyasema ni ya uongo apigwe ban yeye kwa kumzushia sifa mbaya member mwenzie
 
Nenda kaukague ule uzi wako wa kufiwa na wapendwa wako, halafu uone. Bahati mbaya siyo mtaalam wa kufukua makaburi.

Kiufupi nilikuuliza kwa ni njema kabisa. Tena baada ya kuguswa na hilo tukio. Ila uliishia tu kunitukana. Nadhani hata hiyo BAN kutoka kwa hao moderators haina umuhimu wowote ule kwa sasa. Maana yalishapita. Na mimi nilichagua kusamehe.
 
Nafikiri ilikuwa nafasi yako muhimu kuomba radhi kwa Tate na sio kutaka ban.
Ikiwa ulitukana ukiwa na simanzi sasa naamini uko sawa so ni wakati muhimu kutengeneza na uliowakosea, hasa ukizingatia kila mwana jf aweza kuwa mteja wako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…