KERO Magari ya abiria wilaya ya Siha wanatesa abiria kuwatoza nauli kubwa zisizostahili

KERO Magari ya abiria wilaya ya Siha wanatesa abiria kuwatoza nauli kubwa zisizostahili

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Viongozi wilaya ya Siha fuatilieni wananchi wanateseka toka tarehe 26/06/2024 magari ya abiria aina ya Noah na Hiece (daladala) wamepandisha nauli kiholela, ambapo kutoka Boman' ombe mpaka Sanya nauli ya Hiace imepanda mpaka Tsh 1,500 kutoka Tsh 1,000. Hii imepelekea kuleta changamoto kwa wananchi wanyonge
 
Back
Top Bottom