realMamy
JF-Expert Member
- Apr 28, 2024
- 3,925
- 8,853
Imekuwa ni kawaida kabisa uwajibikaji Umekuwa ukifanyika vizuri zaidi pale kitu kinapotokea.
Na mara nyingine taratibu mbali mbali zinaanzishwa ili kuhakikisha tatizo halijirudii tena.
Lakini cha ajabu baada ya muda mambo husahaulika na kutowajibika kunaendelea.
Tuendelee kukumbushana wajibu japo wengi hawapendi kukumbushwa.
Sina uhakika kama Matron wapo kwa magari ya watoto kama ilivyoelekezwa?
Tuendelee kufuatilia hili na kutoa taarifa kwa kuwa watoto ni taifa la Kesho.
Na mara nyingine taratibu mbali mbali zinaanzishwa ili kuhakikisha tatizo halijirudii tena.
Lakini cha ajabu baada ya muda mambo husahaulika na kutowajibika kunaendelea.
Tuendelee kukumbushana wajibu japo wengi hawapendi kukumbushwa.
Sina uhakika kama Matron wapo kwa magari ya watoto kama ilivyoelekezwa?
Tuendelee kufuatilia hili na kutoa taarifa kwa kuwa watoto ni taifa la Kesho.