Magari ya trafiki na polisi hayana bima

Magari ya trafiki na polisi hayana bima

witzone2

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2022
Posts
797
Reaction score
1,739
Utafiti wangu rasmi. Magari karibia wote ya kutembelea hayana bima. Hii but kila ninaposimamishwa barabarani kwa ajili ya ukaguzi. Huwa nashuka naenda kuangalia kama magari Yao yana bima. Na hiki ni kipindi kile bima zilikuwa zinabandikwa kwenye kio. Sasa hizi za kidijitali ndo kabisa.

Polisi wekeni bima ya magari ndiyo muanze kukagua magari yetu. Huo uonevu muache
 
Bima ni kwa faida yako mwenyewe, unaikumbuka kesi ya Andrew Chenge?
 
Back
Top Bottom