Mkuu una uzoefu nayo?Uzuri wa gari hizo ni pia Kodi yake imepoa sana na ni rahisi kulifanya litumie petrol
Kuna boss nilimuona nayo center ila baadae alifanya modification midogo ikawa ya petrol zipo japo ni chacheAsante, kodi ya kuingizia gari nchini? Hivi watu wanayaleta?
Kiac naweza kusemaMkuu una uzoefu nayo?
Kwanini akaibadilisha mkuuKuna boss nilimuona nayo center ila baadae alifanya modification midogo ikawa ya petrol zipo japo ni chache