Magari yanayotumia gesi

pangakali 2

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2019
Posts
239
Reaction score
221
Habari Wakuuu. Hivi karibuni nimeshuhudia magari makubwa kwa madogo yakiwa yamebafirishiwa mfumo wa engine badala ya kutumia diesel/ petrol na kifungiwa mtungi/mitungi ya gas. Swali langu naomba kujua faida na hasara zake na ushauri kwa ujumla. Ili panapo majaaliwa na mm nikishawishika nibadirishe hali ni tete ya uchumi tunatafuta palipo na unafuu.View attachment 1745016

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…