Kwani una shida gani mkuu wangu😁Dahhhhh....
Asasjui nifanyeje ili mambo yakae sawa..😓
Ombi lako ntalishughulikia..bado tu unavitafuta[emoji38][emoji38][emoji38]Abigail Nabal Nitafutie vikamptura flani hivi vya kinyamwezi.nataka kuonyesha ulegi siku moja[emoji38][emoji38]
Ba mchungaji mambo gani hayaNataka nione namna ya kutupia voko mkuu, sema dahhhh...[emoji847] hata sielewi...[emoji854]
Asante mpendwaHongera sana Abigail Nabal .
I’m happy for you [emoji3059]
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Kwani Kuna magauni ya watoto wa kiume?
Asante mkuuNataka nikamsapoti huyu mdada haya single mama mwenye anaona atapata nguo za mwanae hapo anicheki pm, itapendeza kama atatokea maeneo ya jirani na ofisi husika i.e shekilango, manzese, mabibo mwisho, mwembeni, Sahara na makutano
👏
Amina sisDada is very proud of you Abby...
Mungu azidi kukuonekania kabisa...
Tatizo moyo mkuu...😋Kwani una shida gani mkuu wangu😁
Hivi kuna namna yakuupumzisha moyo kwer na haya majaruba😂😂😂msaada tafadhariTatizo moyo mkuu...😋
Sasjui itakuaje...😊
Hapa waifu kaniuliza kwamba voko ndio nini??
🤣🤣🤣🤣Hivi kuna namna yakuupumzisha moyo kwer na haya majaruba😂😂😂msaada tafadhari