Zurie
JF-Expert Member
- Jul 6, 2014
- 2,012
- 5,571
Magavana nchini Kenya wamemtaka Rais Kenyatta autangaze ugonjwa wa Kansa kuwa janga la kitaifa.
Taarifa iliyotolewa kupitia Mwenyekiti wa Baraza la Magavana, Wycliffe Oparanya siku ya Jumamosi inaeleza kuwa wakati Wakenya wakiendelea kuomboleza vifo vya Gavana wa Bomet, Dkt. Joyce Laboso, Mbunge wa Kibra, Ken Okoth na aliyekuwa Mtendaji Mkuu wa Safarivom, Bob Collymore, uhatari wa ugonjwa huo umekuwa dhahiri zaidi.
Kulingana na ripoti ya Taasisi ya Taifa ya Kansa, ugonjwa huo umeenea zaidi Kisumu, Kakamega, Nyeri, Nakuru, Bomet na Uasin-Gishu.
Taarifa hiyo iliendelea kueleza kuwa changamoto kuu ni gharama ya matibabu kwa wagonjwa ambapo mionzi hugharimu Ksh. 500 hadi 1,000 na dawa hugharimu Ksh. 6,000 hadi 600,000 katika hospitali za Serikali.
Wameitaka Serikali kuangalia upya suala hili kwa sababu gharama hizi ni kubwa kwa Mkenya mwenye kipato cha wastani
========
Governors have called on President Uhuru Kenyatta to declare cancer a national disaster.
Council of Governors Chairman Wycliffe Oparanya on Saturday said that as Kenyans come to terms with the death Bomet Governor Dr Joyce Laboso, Kibra MP Ken Okoth and Safaricom former CEO Bob Collymore, a chilling realisation was sweeping the country about their vulnerability to the disease.
"According to the latest report by the National Cancer Institute of Kenya, cancer is most prevalent in Kisumu, Kakamega, Nyeri, Nakuru, Bomet and Uasin-Gishu counties, " Mr Oparanya said in a statement.
The key challenge being the cost implication it has on the victims, Mr Oparanya said.
"Patients pay between Sh500 to Sh1, 000 per session for radiotherapy in state-run hospitals while chemotherapy costs Sh6, 000 to Sh600, 000, depending on the drug used. This is not achievable for the average Kenyan and we need to rethink these costs," the Kakamega governor said.
Source: Nation.co.ke
Taarifa iliyotolewa kupitia Mwenyekiti wa Baraza la Magavana, Wycliffe Oparanya siku ya Jumamosi inaeleza kuwa wakati Wakenya wakiendelea kuomboleza vifo vya Gavana wa Bomet, Dkt. Joyce Laboso, Mbunge wa Kibra, Ken Okoth na aliyekuwa Mtendaji Mkuu wa Safarivom, Bob Collymore, uhatari wa ugonjwa huo umekuwa dhahiri zaidi.
Kulingana na ripoti ya Taasisi ya Taifa ya Kansa, ugonjwa huo umeenea zaidi Kisumu, Kakamega, Nyeri, Nakuru, Bomet na Uasin-Gishu.
Taarifa hiyo iliendelea kueleza kuwa changamoto kuu ni gharama ya matibabu kwa wagonjwa ambapo mionzi hugharimu Ksh. 500 hadi 1,000 na dawa hugharimu Ksh. 6,000 hadi 600,000 katika hospitali za Serikali.
Wameitaka Serikali kuangalia upya suala hili kwa sababu gharama hizi ni kubwa kwa Mkenya mwenye kipato cha wastani
========
Governors have called on President Uhuru Kenyatta to declare cancer a national disaster.
Council of Governors Chairman Wycliffe Oparanya on Saturday said that as Kenyans come to terms with the death Bomet Governor Dr Joyce Laboso, Kibra MP Ken Okoth and Safaricom former CEO Bob Collymore, a chilling realisation was sweeping the country about their vulnerability to the disease.
"According to the latest report by the National Cancer Institute of Kenya, cancer is most prevalent in Kisumu, Kakamega, Nyeri, Nakuru, Bomet and Uasin-Gishu counties, " Mr Oparanya said in a statement.
The key challenge being the cost implication it has on the victims, Mr Oparanya said.
"Patients pay between Sh500 to Sh1, 000 per session for radiotherapy in state-run hospitals while chemotherapy costs Sh6, 000 to Sh600, 000, depending on the drug used. This is not achievable for the average Kenyan and we need to rethink these costs," the Kakamega governor said.
Source: Nation.co.ke