Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eti wadau magazeti ya Rostam Aziz na yale anayoyafadhili ni yapi?
Bashe yupo Habari???... Thatz a hundred yrs of Cinema...
Bashe yupo Habari???... Thatz a hundred yrs of Cinema...
Kwani leo? Si ndio CEO wake? nafasiya zamani ya Rosemary Mwakitwange.Kabla ya kuwa CEO alikuwa Mkuu wa Masoko wahiyo New Habari Co (2006)Bashe yupo Habari???... Thatz a hundred yrs of Cinema...
RAI,MTANZANIA,DIMBA,THE EAST AFRICAN,-ofis zake zipo sinza kijiweni,kampuni inaitwa NEW HABARI HOUSE
RAI,MTANZANIA,DIMBA,THE EAST AFRICAN,-ofis zake zipo sinza kijiweni,kampuni inaitwa NEW HABARI HOUSE
Mhariri wake mkuu alikuwa Muhingo Rweyemamu lakini sasa jina lake limeondolewa lwenye bodi ya uhariri
Eti wadau magazeti ya Rostam Aziz na yale anayoyafadhili ni yapi?
Pia nyundo, tazama na the Express. Mi sioni tatizo hata kama atamiliki na kuyafadhili Mwanahalisi, Raia mwema, Nipashe na kulikoniaisee ni hatari kama ana mkono wake kwenye magazeti mengi hivyo.!
Mh!amekamata vyombo vya habari karibu vyote,lakini hawezi kushinda nguvu ya umma!!aisee ni hatari kama ana mkono wake kwenye magazeti mengi hivyo.!