Lakini hii misifa kwa Yanga wahusika wajitathmini! Mafanikio ya timu ni kwenye soka la uwajani na sio mayowe na mapambio, Sasa Yanga kwenye mechi muhimu kama ya jana wamepokea kipigo, hapa mawasifu kwa lipi!?
Harafu msemaji wao jana kapata ajaliLakini hii misifa kwa Yanga wahusika wajitathmini! Mafanikio ya timu ni kwenye soka la uwajani na sio mayowe na mapambio, Sasa Yanga kwenye mechi muhimu kama ya jana wamepokea kipigo, hapa mawasifu kwa lipi!?
Hajapata ajari ni kiki anaona aibu ya kupigwaHarafu msemaji wao jana kapata ajali
Si anawaona yanga maboya wa kudanganyaKweli kabisa maana hata taarifa yake haieleweki.
Duh..