Wakuu........nina swali kidogo.......hivi tunayo Building Code yetu?....
............otherwise kwenye masuala haya ujenzi.........ethics mbovu zinaangusha sana umakini wa kazi hizi za kiufundi............
Hatuna mkuu! TBS angalau wamejitahidi kudevelop, kilichomo ni copy na paste ya british!-na haina nguvu yoyote kisheria
crb walienda wakauliza nani anaesimamia wakaonyeshwa jamaa mmoja wa darasa la saba
wakaulizwa engineer wakaonyeshwa jamaa mmoja anadai alimaliza ftc dit mnaokumbuka
wakachoka walipoangalia docs wakakuta zote ni halali
na zimepigwa muhuri yoote inayotakiwa mmiliki akajifunguia ndani
hiyo ndio tanzania
mi ningekuwa mkuu wa wilaya huyop wa darasa la saba mnampeleka
veta akaongezee ujuzi,...mtu muhimu sana kwa kiwango kilichopo cha gorofa kwa darasa la saba
hongera zake
Niliwahi kuongea na rafiki yangu mmoja tuliyesoma naye sekondari. Ni tajiri sana na ana kampuni yake ujenzi; eti yeye mwenyewe ndiye injinia wa kampuni ile. Nilimpinga kuwa uzoefu wake hawezi kuulinganisha na utaalamu wa mhandisi, na ili kumthibitishia nikumwuliza maswali madogo sana katika structural engineering ambayo alishindwa. Ni wazi kuwa mtu wa aina hiyo akipewa mradi wa kujenga ghorofa, atalivaa bila kutambua kuwa kuna details nyingi za kihandisi zinazotakiwa kufuatwa ambazo huzijui; matokeo yake ndiyo hayo hapo juu.
kichuguu.. kitu kimoja ambacho huwa pia kinatokea sana ni suala la "njia za mkato".. tumejifunza kutumia njia za mkato kiasi kwamba tumezoea mno hata ile njia ndefu tumeshaisahau..
kichuguu.. kitu kimoja ambacho huwa pia kinatokea sana ni suala la "njia za mkato".. tumejifunza kutumia njia za mkato kiasi kwamba tumezoea mno hata ile njia ndefu tumeshaisahau..
LOL! Mpaka ile njia ndefu imeota manyasi!! una pita mahali kuna kibao kabisa 'usipite hapa' lakini unapita hapo hapo!