Uchaguzi 2020 Magesa Mulongo atangaza nia Kibamba

Magesa kawaumbua wanaomshambulia Rais kwa kutengua, wanaotenguliwa wanakuwa wamefanya makosa. ila kwa kuwa mapoyoyo hawafahamu kilichomo ndani wanabaki wamlaumu Rais kwa kutengua.
 
Garasa tu Hilo, hiyo Masters ni makaratasi tu.

Kaingia Class, kawa na Akili Pana ukilinganisha na hapo awali, hivyo ni wakati sahihi wa yeye kupata nafasi ili atumie vizuri hii elimu aliyeipata
 
East African,

Jamaa Anafaa Sana. Naamini baada ya kuomba msamaha, huu utakuwa wakati wake wakuitendea haki elimu yake (ana Masters Degree Kali sana).
Hiyo MS kali Ina msaada gani kwa wanyonge ndugu? Hiyo ni ya kwake na familia yake.
Uongozi ni kipaji kingine kabisa.. kuwa kiongozi inahitaji busara na hekima pekee na si mbwembwe zingine.
 
Magesaa Mulongo pumzika mzee wangu mbona mchango wako kwa taifa unatosha fanya shughuli nyingine Wapiga kura watakula hicho kidogo ulichonacho
 
Posho za vikao+ Kiinua mgoņgo milioni 200 baada ya miaka 5
Kumbe ni fursa kwa madai eti wanatatua kero za wananchi, lakini moyoni mwao wametawaliwa na tamaa za maslahi binafsi kwa mgongo wa wananchi.
 
Anadai alikuwa akinyanyapaliwa kupewa kazi. Coz kila wakimuangalia wanaona cheo alichofikia wanaogopa kumpa kazi.
Mbaya Sana kuanzia juu then ukashuka.

2020
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…