Maggid Mjengwa ana Virus?


Nadhani kwa kufuata weledi wa uandishi wa habari alipaswa kuvuka mipaka ya ushabiki wa kisiasa na kubalance story. I hope kwa sababu ni member atakuja ajitetee mwenywe ili kubalance pia story za thread hii. Akikaa kimya inaleta maswali zaidi.
 
Nadhani kwa kufuata weledi wa uandishi wa habari alipaswa kuvuka mipaka ya ushabiki wa kisiasa na kubalance story. I hope kwa sababu ni member atakuja ajitetee mwenywe ili kubalance pia story za thread hii. Akikaa kimya inaleta maswali zaidi.
Yupo humu sasa hivi online na thread yake ya kumpamba Lowasa, Maggid huwa achangii thread za wengine maana yeye humu akija huwa anakuja kikazi zaidi kumpamba yule mtu aliemkusudia siku hiyo.
 
Sio Ruge VS Sugu...sema Ruge vs Wasanii wenye akili na waliojitambua. Huyu sugu ni mmoja wa kiongozi wa wasanii hawa.
Ila mm binafsi naona tunapoelekea ni kuzuri...soon wasanii wetu wataanza kufaidika na sanaa yao. Imagine Professa Jay pamoja na umaarufu wote ndio kamalizia kujenga nyumba ya kuishi miezi kama minne iliyopita. Nyumba moja anajenga miaka nane..wakati nchi ambazo wasanii wanajua haki zao...One Album inaweza kumfanya msanii akaishi vizuri kwa miaka kadhaa ikiwemo kujenga nyumba nzuri, gari zuri, maisha mazuri kwa ujumla . Bahati mbaya wengi wa wasanii wa bongo upeo mdogo sana halafu wameshazoea kibongobongo..kidogo tu kesharidhika! Wasanii fungukeni!!!!!
 
sijapenda jisni ulivyomjibu mrembo wangu hapa hata kama ni ugumu naubandidu sio ki hivi
Wewe sio mgeni hapa JF kila jukwaa lina swaga zake, uwezi kupeleka mambo ya siasa MMU vivyo hivyo otherwise.
 
Wote, Michuzi na Mjengwa wametoa picha za matamasha yote mawili. Isitoshe, saa zingine kwenye mambo ya blogs ni nani anayetuma habari ya matukio. Mjengwa yupo based in Iringa town na si ajabu hakuwepo Dar ila ni juu ya wahusika kutuma yaliojili kwenye tamasha lao.

So I think blaming Mjengwa (or Michuzi for that matter) is useless and a waste of time! I know Mjengwa personally and have always known him to be fair and honest when it comes to news reporting, never even shying from his sometimes very opinionated columns released in the press.
 
Salaam kutoka kwa mashabiki





Sehmu kubwa ya Maeelfu ya watu waliojitokeza kwenye tamasha la kihistoria la Vinenga
Wadau Mbalimbali
Mheshimiwa Mbunge wa Mbeya Mjini- Chadema Joseph Mbilinyi ‘Sugu'(Kushoto)akiwa katika picha ya pamoja na Mdau Hajji Muki na Kulia ni Mheshimiwa Mbunge wa Ubungo -CHADEMA)John Mnyika ndani ya Tamasha la Vinega Email This BlogThis! Share to Twitter Share to Facebook


Older Posts Home
 
Haaa Kumb Magidd ni hivyo tena,basi hata makala zake nimejifuta rasmi kuzisoma,maana kama yuko shirika moja na hao clouds basi maana hao clouds binafsi nimewa-delete kwa kutangaza habari za kupotosha,matusi,na kutokubalance story,na zaidi wamekuwa mno watu wa kujipendekeza kwa mafisadi tena wazi wazi,na kuwasifia basi wangelikuwa wanatumia media house yao kuelekeza yaliyo mema,kuwashauri hao mafisadi waache ufisadi na kuwa chombo huru kisichoegemea upande,sasa kama na huyu Maggid kaanza hivyo wala sihitaji kusubiri any kind of proof huyu najua ni kweli ana virus.Tushirikiane kuwatokomeza waadishi na vyombo vy habari vya aina hii kwa kutoku-tune wala kusoma makala zao!
 
Huyu majid ni gamba mkubwa hana lolote ni fisadi wa mawazo.
 
Yupo humu sasa hivi online na thread yake ya kumpamba Lowasa, Maggid huwa achangii thread za wengine maana yeye humu akija huwa anakuja kikazi zaidi kumpamba yule mtu aliemkusudia siku hiyo.

Hapo kwenye rangi, una maanisha aliyemlipa sio? kwa hiyo habari zake na matukio anayoripoti ni kwa kuwa anatumika! ananunulika kifupi unataka kumaanisha kuwa sura na kalamu yake vinaonesha bei yake!!!
 
Hapo kwenye rangi, una maanisha aliyemlipa sio? kwa hiyo habari zake na matukio anayoripoti ni kwa kuwa anatumika! ananunulika kifupi unataka kumaanisha kuwa sura na kalamu yake vinaonesha bei yake!!!
Bandiko lako linajitosheleza, labda cha kuongeza tu ni kwamba mtaji wake ni kalamu.
 
Ameapload sasa hivi nafikiri msg imemfikia. Muungwana uonekana kwa vitendo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…